Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Hi,
WanaJF nimeboreka nimekutana na bonge la ufufu, mdada kaniletea kadi ya harusi nikampongeza, ila nikampa swali bwagizi, Best ndio utaolewa je unafahamu maana ya ndoa, naomba majibu nione kama unafuzu ndoa.
Katoa majibu mafufu matupu, nikapata fursa tena ya mtarajiwa mwenza nae kaleta kadi nikamuuliza kimasihara sharo unaoa je unafahamu maana ya ndoa? Majibu kabutua hovyo hata bench hakai.
Pumbavu mtaoa wenyewe mnachezea kanuni za Mungu pasipo ufahamu na marifa toshelezi.
Kila mtu aendelee na katiba na miongozo yake.
Nawasilisha
WanaJF nimeboreka nimekutana na bonge la ufufu, mdada kaniletea kadi ya harusi nikampongeza, ila nikampa swali bwagizi, Best ndio utaolewa je unafahamu maana ya ndoa, naomba majibu nione kama unafuzu ndoa.
Katoa majibu mafufu matupu, nikapata fursa tena ya mtarajiwa mwenza nae kaleta kadi nikamuuliza kimasihara sharo unaoa je unafahamu maana ya ndoa? Majibu kabutua hovyo hata bench hakai.
Pumbavu mtaoa wenyewe mnachezea kanuni za Mungu pasipo ufahamu na marifa toshelezi.
Kila mtu aendelee na katiba na miongozo yake.
Nawasilisha