Hivi Umalaya ni nini?

Hivi Umalaya ni nini?

Hata kule kuongea pumba kama watu fulani hapa jf ni umalaya wa kutafuta mabwana kwa nguvu.
 
Wanawake
Kicheche
Kahaba
Guberi
Cha upepo
Papuchi mkononi
Shangingi
Maharage ya mbeya
Mama huruma
Wanamume
Mpini mkononi
Macho juu
Samaki hapishi chambo
Na mengine mengi hii inaonyesha jambo hili linavyochukiwa na watu ingawa linafanyika sana.
 
Aisee hapa umeonyesha ni yule mwanamke ambae hawezi kukataa. Na mwanaume ambae hachagui yeye ilimradi kaona mwanamke..! Vp mwenye uwezo kukataa na kuchagua,mfano ametongozwa na wanaume 20 kwa mwezi,akawakataa 16,lkn wanne akawapa na mwanaume anayechagua kwa mwezi awafunue wanne vp hao siyo malaya??
bdo ni malaya suala ni idadi unapokuwa na mwenza zaidi ya mmoja huo ni umalaya
 
Wanajamvi,
Habari za jumanne.?

Pamoja na umri wangu kuwa umesonga,lkn kiukweli sijawahi kuthibitishiwa popote kuhusu hili suala,pengine labda kutokana na mazingira niliyokulia.

Naamini hapa naweza kupata ufumbuzi au ufafanuzi wa kina. Hivi mtu awe mwanaume au mwanamke ni idadi gani ya watu aliotoka nao inayothibitisha kwamba huyu amefikia level ya kuitwa malaya??

Au umalaya siyo idadi ya watu anaotoka nao mtu ki-mapenzi,labda ni kauli zake,mavazi yake nk.ktk jamii ndo vinamfanya aonekane malaya??

Wapo wanaume na wanawake ambao me nawafahamu wana idadi kubwa ya wapenzi na bado wanaongeza lkn hawaitwi malaya bali wao ndo wananyooshea vidole wengine.

Hebu tubadilishane mawazo hili jina ili uitwe inabidi uwe ktk hali gani?? Umalaya hasa ni nini??

Nawasilisha.
Kwa wanaume wabongo mwanamke atakayemkataa au kumwacha bila kutegemea anaitwa hivyo
 
Sifa chache na kuu za mtu malaya
1. Anapenda ngono kila mara na yeye hachagui ni nani afanye nae nani asifanye nae..
2. Lugha/ matamshi.. ukikutana na mwanamke malaya hata jinsi wanavyo ongea unaweza ziba masikio.. hawana soni hawa popote yoyote atakuropokea tusi au kukudhalirisha wazi wazi bila kujali upo wapi?upo na nani...
3. Siamini sana kwenye mavazi Ila, kuna kipindi unaweza kutana na mwanamke mchana kweupe alivyo vaa mpaka una jiuliza huyu ndio ana aamkaaaa au ndio ana jiandaa kulala... wana zurura na night dress hawa mtaani , they don't care... aibu kwao ni 'F'. Hii inanifanya niamini watu was namna hii malaya tu.


Mwisho: malaya ni mtu anae penda sanaaaa ngono kupita kiasi na huifanya mara kwa mara na kwa yotote yule bila kujali chochote kile apewe hela asipewe yeye atafanya tu...


Kuna tofauti kati ya malaya na kahaba...

Kahaba hufanya ngono kama biashara , bila kukubaliana nae malipo utakula kwa macho tu ZIGO hilo... na wako serious ni kazi yao na wana jali muda kama unavyo jali muda wako wewe wa kwenda kazini... ndio wale insta utaona leo ame chukua pipa ana kwenda zake dubai,kesho nigeria kesho kutwa south mtondo USA ukija kushituka yupo bongo... they are export pussy with very high prices...

Malaya sasa, yeye hana muda na hela uupe sawa usi mpe potelea mbali... maadam kaisha fanya karidhika.. tuta kutana kesho endapo jaaliwa na atafanya tena... na hawana msimamo wepesi sana kuwachezea akili zao.. wana danganyika na vitu vyaki puuzi sana either; bia,soda,chakula,vocha,sms za mahaba, kupigiwa simu nika mara ndio ana dhani ame thaminiwa... generally wana pagawa na vitu vyaki puuzi puuzi...
Kwenye aya ya pili unatoa ishara ya kumalizia(MWISHO) kumbe kuna aya mbili zinafuata😀😀, inabidi tupeane darasa la kuandika insha.
 
Back
Top Bottom