Simonsica
Member
- Dec 10, 2010
- 39
- 3
Oh My Gosh..! Where are we headin' to. . . Blög Sicä | Welcome to Blog Sica!!!
Oh My Gosh..! Where are we headin' to. . . Blög Sicä | Welcome to Blog Sica!!!
Sahihisho, inategemea Joseph yupi unaye mzungumzia, Kama ni yule aliye uzwa na ndugu yake, yeye ni nabii, lakini kama ni mumewe na Maryam, basi huyo si nabii...!Correction pls
Joseph si Nabii kwa mujibu wa ukristu, ni nabii kwa mujibu wa uislam
Pia Yesu si nabii ni MUNGU kwa mujibu wa biblia, aliye nabii ni isa bin marium ambaye ni toufauti na yesu wa kwenye biblia
Uncle kama unataka ufahamishwe, please put it in proper words. However, mixing religion and your dirty thinking doens't work.