Ladyboy ndiyo nini?
ivi hawa si unakuta wana genes xxy ama yyx? mara nyingi sana huku africa hawapo kwasababu ya geographical location and type of our evolution. fofr your informatin african evolution is more + compared to Asians and Europeans. for that matter extente ya gene mutilation ni ndogo huku kwetu na simply ni kwasababu tuko along the equator na hii ni hata kwenye wanyama na mimea yetu.
ukimkuta mmoja ujue huyu kaja ila wa kuzaliwa mpaka leo tuna case ya kuwa na mmoja tu ambaye nilimsikia naye alifanyiwa upasuaji huko india ili kurekebisha.
ivi hawa si unakuta wana genes xxy ama yyx? mara nyingi sana huku africa hawapo kwasababu ya geographical location and type of our evolution. fofr your informatin african evolution is more + compared to Asians and Europeans. for that matter extente ya gene mutilation ni ndogo huku kwetu na simply ni kwasababu tuko along the equator na hii ni hata kwenye wanyama na mimea yetu.
ukimkuta mmoja ujue huyu kaja ila wa kuzaliwa mpaka leo tuna case ya kuwa na mmoja tu ambaye nilimsikia naye alifanyiwa upasuaji huko india ili kurekebisha.
Mwalimu samahani siajelewa unaongelea watu gani ambao hawawezi kupatikana kwenye maeneo ya ikweta!!
Hebu dadavua tena aisee..manake hii issue ya lady boy mie naona kama siielewi elewi!
ngoja nmjibie,manake Asprin alishasema sie tunajibiana maswali!
mleta thread anasema anatafuta kama tanzania wapo ma shemale !sasa sijui ushawahi kuwaona maeneo pacha wangu!
ivi hawa si unakuta wana genes xxy ama yyx? mara nyingi sana huku africa hawapo kwasababu ya geographical location and type of our evolution. fofr your informatin african evolution is more + compared to Asians and Europeans. for that matter extente ya gene mutilation ni ndogo huku kwetu na simply ni kwasababu tuko along the equator na hii ni hata kwenye wanyama na mimea yetu.
ukimkuta mmoja ujue huyu kaja ila wa kuzaliwa mpaka leo tuna case ya kuwa na mmoja tu ambaye nilimsikia naye alifanyiwa upasuaji huko india ili kurekebisha.
hivi huyo dada ana K? napenda kujua kama ni mwanaume mwenye shepu ya kike au ana jinsia mbili.
EDIT: nilisahau kumuuliza gfsonwin, mie ninavyojua abnormalities nyingi huku afrika hazitangazwi na watoto hutupwa, thats y cases huku ziko chache sana. hiyo genetics za afrika kuwa tofauti na europe/elsewhere hai-account for the lack of abnormalities, yaani africa nzima hizi cases hazipo kabisa, no way. nisahihishe kama nimekosea.