hivi tanzania.........

ivi hawa si unakuta wana genes xxy ama yyx? mara nyingi sana huku africa hawapo kwasababu ya geographical location and type of our evolution. fofr your informatin african evolution is more + compared to Asians and Europeans. for that matter extente ya gene mutilation ni ndogo huku kwetu na simply ni kwasababu tuko along the equator na hii ni hata kwenye wanyama na mimea yetu.

ukimkuta mmoja ujue huyu kaja ila wa kuzaliwa mpaka leo tuna case ya kuwa na mmoja tu ambaye nilimsikia naye alifanyiwa upasuaji huko india ili kurekebisha.

Mwalimu, I wish I Kuld c yu! Coz m ze ticha too!
 
ivi hawa si unakuta wana genes xxy ama yyx? mara nyingi sana huku africa hawapo kwasababu ya geographical location and type of our evolution. fofr your informatin african evolution is more + compared to Asians and Europeans. for that matter extente ya gene mutilation ni ndogo huku kwetu na simply ni kwasababu tuko along the equator na hii ni hata kwenye wanyama na mimea yetu.

ukimkuta mmoja ujue huyu kaja ila wa kuzaliwa mpaka leo tuna case ya kuwa na mmoja tu ambaye nilimsikia naye alifanyiwa upasuaji huko india ili kurekebisha.


equator na gene mutilation vinakujaje hebu fafanua kwanza hapo labda ndio nitaelewa your previous post......
 
equator na gene mutilation vinakujaje hebu fafanua kwanza hapo labda ndio nitaelewa your previous post......

ngoja nikuulize swali dogo tu, hivi kwanini wazungu asili yao ni ulaya? na kwanini weusi ni africa? je unaufaham kidogo wa gene pools ktk geographical location moja? nijibu hapo kwanza il nijue wewe ni introvant ama manake hili ni somo pana kidogo ambalo nitahitaj kukuandikia notisi kabisa.
 
kuna gene manipulation ambaazo haziwez kutokea africa sababu zikiwa kwanza ni geographical location mfano, wazungu ni ngozi nyeupe genes zao ziko kwenye nchi za north and south pole huwez kukuta watu wa ikweta wamezaa mzungu labda watazaa zeruzeru. je umewah kujiuliza kwanini? na pia kwanini mtu mweusi hata aish miaka elfu ulaya kama ataendelea kumarry mweusi mwenzie basi atazaa mtu mweusi? ukipata jibu hapo basi utajua kanini hawa shemale kwa huku kwetu huwez kuwapata.
i always thought the racial differences are due to location e.g. africa black skin iko favoured due to climate, scandinavia ppl are taller than average etc I cant speak for genetic mutations maana sina uhakika na cause zao but I know mutations nyingi hapa africa huwa hazitangazwi as people think its a bad omen au ushirikina. zamani watoto albino hawakutunzwa bcoz of superstition, I can imagine the same goes for other abnormalities. Fikiria (hypothetically) ukipata mtoto both-sex, utashukuru Mungu au utamtupa na kusema mtoto hakuzaliwa mzima.
 
i always thought the racial differences are due to location e.g. africa black skin iko favoured due to climate, scandinavia ppl are taller than average etc I cant speak for genetic mutations maana sina uhakika na cause zao but I know mutations nyingi hapa africa huwa hazitangazwi as people think its a bad omen au ushirikina. zamani watoto albino hawakutunzwa bcoz of superstition, I can imagine the same goes for other abnormalities. Fikiria (hypothetically) ukipata mtoto both-sex, utashukuru Mungu au utamtupa na kusema mtoto hakuzaliwa mzima.

mejibu kwa kiasi cha uelewa wako wa genetics but iko hivi gene pool ziko localized and this is why utakuta mimea mingine africa ulaya ama asia huikuti ama utakuta weusi africa ila ulaya hapana. ukitaka kuamini nenda kaish ulaya mna mkeo mweusi hata mkae miaka 500 hamtaweza kuzaa watoto wazung kwani geneology yao iko localized africa. gene mutilation nyingine kwa uku ni ngumu sana kuprevail kwasababu ya hali ya kijiographia yetu, like wise huko ulaya kuna aina za ulemavu wa kigenetics ambayo sisi tunayo wao hawana ikitokea case kama hiyo baasi ni moja ma mbili kwa uku kwetu.
 
mejibu kwa kiasi cha uelewa wako wa genetics but iko hivi gene pool ziko localized and this is why utakuta mimea mingine africa ulaya ama asia huikuti ama utakuta weusi africa ila ulaya hapana. ukitaka kuamini nenda kaish ulaya mna mkeo mweusi hata mkae miaka 500 hamtaweza kuzaa watoto wazung kwani geneology yao iko localized africa. gene mutilation nyingine kwa uku ni ngumu sana kuprevail kwasababu ya hali ya kijiographia yetu, like wise huko ulaya kuna aina za ulemavu wa kigenetics ambayo sisi tunayo wao hawana ikitokea case kama hiyo baasi ni moja ma mbili kwa uku kwetu.
sielewi gene mutations kuwa localized, i thought ziko uniform to all races, anyway ntacheki zaidi online na kuja na majibu yanayoridhisha. I'll confirm later. of coz nikiishi na Mrs Blaine 500 years in UK hatutapata white kids that much I know, mimi sio bushoke wa kuamini mtoto mchina karithi kwa babu lol
 
sielewi gene mutations kuwa localized, i thought ziko uniform to all races, anyway ntacheki zaidi online na kuja na majibu yanayoridhisha. I'll confirm later. Of coz nikiishi na mrs blaine 500 years in uk hatutapata white kids that much i know, mimi sio bushoke wa kuamini mtoto mchina karithi kwa babu lol

nikusaidie tu kila kitu ambacho mtu anacho kiko physically ni genetic trait na hii iko localized na ndio maana leo hii ukimuona mmbulu hata kama hajachanjwa kama unawajua unaweza kuwatofautisha kutoka kwa wahehe ama wanayakyusa. Ama ukimuona mtu ambaye ni mwarusha( mmasai ama mmeru) wako tofauti na wachagga ama wapare.
 
Kuna mtu alitoa uzi dada yake ana uume, kama ni kweli basi wapo ila ni kwa siri maana watakuwa wanaona aibu kujisema
 
Hey mambo huyu yuko wapi nna shida nae au mwengn kam huyu muhimu awe shemale, ladyboy or tranny.. Nisaidie kumpata
 
Back
Top Bottom