Hivi Tanzania kuna MacDonalds?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Wakuu ningependa kufahamishwa kama Tanzania macdonald ipo na kama haipo kwa nini?
 
Wapo baadhi ya mamalishe hapo feri wana chakula kitamu hicho, mie naona sawa na macdonald tu na hasa ikizingatiwa kuwa wanapikia chakula karibu kabisa na ikulu, chakula ni kisafi na salama! zipo macdonald za India na China mie naona sawa tu na hizo za feri!
 
Yaani ulivyofika huko nje sasa unataka kila kitu huku nyumbani kiwe kama huko. Bongo hakuna cha McDonald wala KFC. Karibu sana!
Lakini si kuna uwezekano wa kuileta au hadi uongee na wanasiasa kwanza??nadhani utakuwa umenipata!!
 
Swali zuri lingekuwa wananchi vijijini wanapata milo mingapi kwa siku na milo hiyo inacomprise nini?

Why discuss macdonald, kfc, steers, mary brown wakati idadi kubwa ya watu wanaishi kwa asali na ubuyu ( wenye bahati ) miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru na kuahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Hapa bongo hakuna mcdonald, jack in the box, wendy's, Mrs winners,krystal, checker,KFC wala steak house. Ila kuna steers, subway and best bites.
 
Swali zuri lingekuwa wananchi vijijini wanapata milo mingapi kwa siku na milo hiyo inacomprise nini?

Why discuss macdonald, kfc, steers, mary brown wakati idadi kubwa ya watu wanaishi kwa asali na ubuyu ( wenye bahati ) miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru na kuahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania.


Cha msingi watanzania tunakula vyakula salama ukilinganisha na hizo processed food wanazokula wenzetu, ukikuta chakula cha standard yetu kina lebo 'Organic' na bei juu.

Kama unataka macdonald ukiwa bongo umeipata - kanunue mkate na mayonnaise kibandani mtaani kwenu, tafuta kipande cha nyama upendayo choma chemsha juu yako, kata pande la nyanya na kitunguu, usisahau pande la kabichi weka hivyo vyote katikati ya mapande mawili ya mkate tafuta mkeka na kokakola jichane.
 
Swali zuri lingekuwa wananchi vijijini wanapata milo mingapi kwa siku na milo hiyo inacomprise nini?

Why discuss macdonald, kfc, steers, mary brown wakati idadi kubwa ya watu wanaishi kwa asali na ubuyu ( wenye bahati ) miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru na kuahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania.
mkuu mbona hata kwa jacob zuma macd zipo na huwez kuniambia kuwa watu wote huwa wanaenda. we hujui kuwa hii ni moja ya ajira pia?
 
Mi nadhani jibu umelipata hamna McDonalds...ila kwanini...Sidhani kama kuna hata mmoja wetu hapa anaweza kukupa jibu sahihi.Ingekuwa vizuri kama ungefatilia mwenyewe na kujua ni kwanini.Inawezekana hamna aliyejitokeza kutaka fungua hiyo Mc D na nadhani unaelewa ili kuwa nayo inabidi u-meet standard zao pia.
 
Swali zuri lingekuwa wananchi vijijini wanapata milo mingapi kwa siku na milo hiyo inacomprise nini?

Why discuss macdonald, kfc, steers, mary brown wakati idadi kubwa ya watu wanaishi kwa asali na ubuyu ( wenye bahati ) miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru na kuahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania.
Big up mkuu!You are a thinker!
 
nop sijaiona, kwa nini, hapo jibu inawezekana ni kutokana na walaji, viwango, franchize d.p etc...

B.
 
kwa vile huna tabia ya kula nje na nyumbani kwako.

Ukibadilika utakuja na ya kwako. Ambayo inaweza kusambaa afrika na baadae dunia kama utafanikiwa kubadili mfumo wa maisha ya waafrika na kipato
 
Swali zuri lingekuwa wananchi vijijini wanapata milo mingapi kwa siku na milo hiyo inacomprise nini?

Why discuss macdonald, kfc, steers, mary brown wakati idadi kubwa ya watu wanaishi kwa asali na ubuyu ( wenye bahati ) miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru na kuahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania.

Mkuu hii habari ya maisha bora kwa kila Mtanzania sasa hv imekuwa kinyume chake hata aliye ianzisha hii slogan nanona na yeye pia haipendi kabisa.
Tungejadili zaidi ni kwa namna gani tuwasaidie watu kwenye wilaya ambazo wamekubwa na balaa la njaa na siyo kujadi vitu ambavyo kwa wa Tz wengi pengine hawajawahi hata kusikia.
 
mkuu mbona hata kwa jacob zuma macd zipo na huwez kuniambia kuwa watu wote huwa wanaenda. we hujui kuwa hii ni moja ya ajira pia?

Kwanza hatutaki zije, haina maana kufagilia ajira zinazohatarisha maisha ya watu. Junk food should be discouraged with all efforts. Let our people eat their natural/organic food. Can't you see problems of obesity escalating in those western countries? The main reason,among others,is junk food! Usifagilie kila kitu cha huko majuu my buddy.
 
Back
Top Bottom