Hivi Tanzania kuna MacDonalds?

...hivi tuna matatizo ya ukomo wa kufikiri?



...mawazo yale yale ya Ubepari ni adui wa haki!



...kwani unalazimishwa ule?



...yale yale,...! target ni kina nani kaka?



...angalau wewe umeangalia nje ya boksi!



..hebu waulize...



...hii ndio athari ya kila kizuri tunasema cha kizungu.

Bandugu mna bore!...

Hivi mnadhani kilio cha serikali watalii/expatriates waje kwa wingi Tanzania maana yake watakula kwa mama Ntilie? au mnataka wale huo ugali na nyama choma mnazozifagilia hapa?

Hamjaweza fikiri MacDonalds watawezesha ajira ngapi hapa nchini? kuanzia wafugaji, wafanyakazi, suppliers, nk? Leo hii hamuoni faida ya Mahoteli ya kitalii, Supermarkets chache tulizonazo, au Mlimani City kwa mfano mdogo?

Hatuwezi kuishi kwa kutarajia mama ntilie atakidhi mahitaji ya watu wote wanaoishi Mijini.

Kwa taarifa yenu, watalii wengi kwenye vigezo vya health & safety hupendelea kula kwenye known/tried and tested franchise kama hizo tajwa hapo awali, ikiwemo KFC, Burger King, Nandos etc, sio kwa mama Ntilie!

Msidhani kuwa kuiga mifumo ya kimagharibi ni dhambi ati tu kwakuwa Mwl Nyerere alisema wao ni makabaila na wanyonyaji! Tumejiingiza kwenye mfumo wa soko huria, lazima twende na matakwa yake.

umeongea nilichotaka niwaambie....
 
Kwa kudra ya mwenyezi Mungu McDonalds haipo Tanzania. Najua kwa wale ambao hawajawahi kuiona au wanaoisikia wanaweza kusema ni bahati mbaya. Lakini kwa kuwa vyakula vyenyewe ni junkie (unhealthy food), kama vikija hapa Tanzania igefaa wapatiwe zaidi wale walio malnuorished. Maana kulidigest big mac moja lile la supersize unaweza kulidigest kwa siku tatu, linafaa sana kwa watu hao. Lakini tatiz0 ni affordability.

mkuu! umeangalia kiwango cha umri wa kuishi! mtanzania na Mmarekani..( huko unaposema kwenye junk foods) !!
 
Kuna bakhersa tu huku na hata mimi sijui uataratibu ukoje kama unataka kuwa wakala wao kwa maana ya kuuza products zao
jamani utaratibu ukoje hapa nyumbani kama unataka kufungua ofisi na kuuza bidhaa zao?
Nisaidieni nijue utaratibu wao
 
Back
Top Bottom