britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kuna jina uwa linatajwa kwamba anahusika kwenye UDA na anaogopwa na jina ilo ni
Robert Kisena
Wanaomjua hebu tudadavulie
Wengine wanasema ni rafiki sana wa mtoto wa mkubwa aliyemaliza muda wake.
Kwenye kesi dhidi ya Idd Simba alitajwa tajwa ila hakushughulikiwa.
Robert Kisena
Wanaomjua hebu tudadavulie
Wengine wanasema ni rafiki sana wa mtoto wa mkubwa aliyemaliza muda wake.
Kwenye kesi dhidi ya Idd Simba alitajwa tajwa ila hakushughulikiwa.