balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,701
- 15,438
Mkuu huu siyo uongo mm ni mwananyati,nimeingia Nsumba 1993 Robert Kisena alihamia tukiwa form two.Tulimkuta Mkama Ndaro chairman wa shule Mr. Kibona,Jesus,Biye nk walikuwepo.Labda huyu Robert Kisena niliyesoma naye ni mwingine.Huyu hakuwa Kichwa wala hakuwa mkorofi. Mr Kibona RIP alikuwa mtu kwelikweli.Hapana mkuu huu ni uongo...Kisena kamaliza 1991..na alikuwa anatumia Jokala Kisena hili la Robert Kisena sijui hata lilitokea wapi tu. Mimi naingia Nsumba form one mwaka 1990 yeye anaingia kama Form four...Nilikuwa naye karibu kiasi maana mwenyeji wangu ambaye alikuwa form two walikuwa marafiki sana ingawa baada ya Kisena kupata hela kama alimtupa vile. Jamaa hakuwa wa kawaida kivile maana kama akili za darasani alikuwa vzuri sana na kwenye suala la kujieleza usimpe nafasi atakuacha....Headmaster Kibona pamoja na ukorofi wake kwa Kisena alikwama....kila akitaka kumfukuza shule jamaa akimfuata ofisini kwake wanayamaliza....Kisena alikuwa anajihamini sana maana Mr Kibona alikuwa haingiliki hv hv ila mshikaji akishafanya noma zake alikuwa anamfuata Mr Kibona either ofisini kwake au hata nyumbani kwake...Pamoja na utukutu wake ila walimu walikuwa wanampenda maana alikuwa kichwa.
Ww umekariri shule jamaaa anayo kubwa kuliko hata Mwenyekiti wako wa CHADEMA Ila wasukuma hawanaga hizoHana shule huyo ,ni kama msukuma tu.
No thanks, unajua karaha za daladala wewe? Kimara hadi posta unatembea kwa zaidi ya masaa mawili, katikati ya kubanana, kelele na matusi ya utingo na makonda, joto na kadhalika! Ni wazi wewe huwezi kuwa jaji kwa kuwa you have irrational behaviour, and certainly judgement.bora daladala
Hatujawahi kutafakari sawasawaHivi tunapowadhihaki wasukuma kwamba ni washamba huwa tumetafakari sawa sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nacheka kwa uchungu huku nashangaa.
Mkuu huu siyo uongo mm ni mwananyati,nimeingia Nsumba 1993 Robert Kisena alihamia tukiwa form two.Tulimkuta Mkama Ndaro chairman wa shule Mr. Kibona,Jesus,Biye nk walikuwepo.Labda huyu Robert Kisena niliyesoma naye ni mwingine.Huyu hakuwa Kichwa wala hakuwa mkorofi. Mr Kibona RIP alikuwa mtu kwelikweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama chairman Mkama Ndaro ni clsssmate wako basi uliniacha firm one 1993.Nitakuwa nakufahamu.Mkuu umenikumbusha mbali kweli kweli..Mkama Ndaro classmate Wangu...huyo Kisena uliyesoma Naye ni mwingine...huyu tunayemuongelea ni Kisena aliyemaliza nsumba 1991 Mkuu Wangu...labda majina tu yanafanana...Robert Kisena aka Jokala Kisena wa Simon Group ni noma Mkuu Wangu...Duuu...Jesus alikuwa maana sana kwangu Alishaniepushaga na noma la sanspaa...Kibona alikuwa amenikalia kooni Jesus akaninasua...
Amalize O-level mwaka 1991 na aanze A-level mwaka huo huo? Mtihani wa form 4 walikuwa wakifanya mwezi wa ngapi, matokeo yakitoka mwezi gani na masomo ya A-level yakianza mwezi wa ngapi?kasomea nsumba sekondari na alimaliza elimu ya sekondari ya chini (o level) mwaka 1991 kisha akajiunga na elimu ya sekondari ya juu (A level) mirambo sekondari mwaka huohu lakini hakumaliza. Alipotea shule kwenye mazngra ya kutatanisha na alifanya mtihani wa form 6 pugu sekondar. kwa ufupi ana Akili sana. Na ni mtu mjanja mjanja....
Kibona, Begasha, Magambo....long timeKama chairman Mkama Ndaro ni clsssmate wako basi uliniacha firm one 1993.Nitakuwa nakufahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana pamoja na picha iliyowekwa haujamtambua kama ni yeye mliyesoma nae? Kuna mwingine kasema kamaliza form 4 hapo hapo Nsumba mwaka 1991.Robert Kisena kama ni huyu wa Nsumba nilikuwa naye darasa moja.Nilikuwa B yeye C na tulimaliza1996.Alikuwa ni msukuma Mnyantuzu wa kawaida.Hayo mengine mbona siyajui? Uchaguzi wa 1995 bado alikuwa form three.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama chairman Mkama Ndaro ni clsssmate wako basi uliniacha firm one 1993.Nitakuwa nakufahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisena jamaa tapeli sana huyu bwana mdogo.Aliichukua ile Nyanza na NewEra Ginnery.Ameibia sana wakulima wa Pamba kuanzia Meatu huko mpaka Maswa.
Ni tapeli ambaye anakudhurumu,ukimfuata unaweza mpiga kwa blabla zake...ukimpiga anajifuta anasema basi tumeshamalizana.Kajamaa fulani kasanii sana,na kwa kweli kalikuwa hakagusiki.
Mara ya mwisho alikuwa akikaa Flat moja hivi pale Upanga,nilionana naye last time 2014 nikiwa Tz.Utapeli wake mpaka kwa Wamama wenye hela,kawaliza sana.
Uchaguzi Mkuu 2010 alienda na mtoto wa Rais mmoja mstaafu kwenye kura za maoni jimbo la Maswa kwa Shibuda,akashinda kwa nguvu kura za maoni.Huyu ndio alifanya Shibuda apigwe chini 2010 na akahamia CHADEMA akapewa jimbo.Kosa lake Shibuda ni kutangaza nia ya kugombea Urais 2010,wenye chama wakamuwekea Kisena.
Alimtapeli Muhindi wa Eicha na Tata alipoziingiza kwenye daladala za UDA.Huyu ndio anaivuruga UDART mpaka sasa haieleweki.Kifupi haka ni kahuni fulani kalikoharibu sana sekta ya pamba na Usafiri wa UDA.
Kwa hili,mimi nipo nyuma ya Amri Jeshi Mkuu John Joseph Pombe Magufuli.Hawa kina Kisena wameiba sana.
Wasukuma ma_Handsome na tall guys big up to them these guys from fresh water land.
Okay mnakula wote sioNimtu moja poa sana aisee anapenda sana kusaidia watu na mwepesi wakutoa hata kama hufahamiani naye atakusikiliza tu.Kwakweli mimi kama mimi siwezi kumsema vibaya.nijirani yangu .
Kibona, Begasha, Magambo....long time
Alikuwa anaishi UK na nkewe doktaHahahaha, asee kuna yule Albert Marwa naye yuko wapi siku hz ,mkwe wa JK
MTC | 101| [emoji769]
Kuna yule mwalimu mwingine mhaya alikuwa anakaa pale chini ya uwanja wa pale jirani na chuo cha "Shosho" alikuwa anaitwa nani vile? Kuna wakati alinunua li pickup moja bovu sana likimtesa kila siku kusukuma pale uwanjani yeye na familia yake ili liwake. Kwake alikuwa kila jioni anauza maziwa na vitafunwa. Nasikia yeye na mkewe baadae walifariki.Yeah Long time aisee....Kuna yule Mwalimu wa Kiswahili (form four) alikuwa anaitwa Budigira sijui...yule nilikwaruzana naye sana kwenye somo la kiswahili maana nilikuwa silipendi halafu yeye anataka nilipende...basi kila akiingia darasani kufundisha akiuliza swali ananipoint mm nijibu...nikishindwa anamind balaa...alikuwaga ananiambia unawezaje hisabati unashindwa kiswahili maana hisabati nilikuwa vzuri sana. (masomo ya science kwa ujumla)
Sasa shida ya system hyo,inaweza ikatumika na tayari inatumika kuwaumiza hata wasiokuwa na hatiaNdio maana JPM ameshaona haya majamaa mahakamani yatashinda tu, so dawa ni kuyawekea kesi za uhujumu uchumi yashindwe kuwekewa dhamana.
Atakua alilala 'mbere kwa mbere'.
Naskia ni mtu poa sana,na mzigo anao,mpaka kuozeshwa mtoto mkubwa wa mzee K si mchezo.Atakua alilala 'mbere kwa mbere'.