Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,165
hujala Omo, povu la nini?
Kuna jukwaa la malalamiko.
Kwani, tripo 0 ni timamu??
Ungetaka usipate utapiamlo kama huu ndo ungemPM
maadam umeileta hapa, nitachangia nitakavyo ebo shabash!
Kuna jukwaa la malalamiko.
Kwani, tripo 0 ni timamu??
Ungetaka usipate utapiamlo kama huu ndo ungemPM
maadam umeileta hapa, nitachangia nitakavyo ebo shabash!
kuna watu wengine wana matatizo binafsi. Au wewe kongosho ni ID nyingine ya masanilo? Wewe umekuwa ukichangia sana thread za 'kutakana' za akina jane, mbona huwaambii watumiane PM na hiyo issue huwa ni private? Mimi nimepata "warning" kutoka kwa masanilo unataka nimuulize mwenyewe ninaye mtuhumu? Kama unakuwa umechoka una kula lapa, si kuandika utapiamlo kwenye thread za wengine!