Hivi Reginald Mengi ni CHADEMA?

Hivi Reginald Mengi ni CHADEMA?

Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.

TBC inaemdeshwa kwa kodi zetu lakini bado inajifanya ni kama vile ni.mali ya CCM.
Tuanze na huku kwenye kodi zetu kabla hatujaanza kuhoji Mali za watu binafsi
 
Mkuu, Niambie Nani Mzalendo Kati Ya Mengi Na Muhogo?? Anadharau Na Kusema Watz Wana Hela Ya Juice Badala Ya Kutoa Mawazo Mbadara

Mengi ni Mchaga, na lazima atetee saccos yao. We ona riport anazomtuma Devota Minja kuzirusha, zimekaa ki UKAWA tupu, na kutwa kucha ni kuriport mikutano ya chagadema na mara malumbano ya hoja wanaletwa wasaga sumu wa kueneza chuki dhidi ya serikali, huyu mzee mnafiki sana.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Ni kweli Mengi ni mchaga na Chadema yetu ni Full uchaga kwa kwenda mbele,lakini tatizo linakuja Kuwa mengi ni ccm lakini anajaribu kusaka huruma za wanachadema zimusaidie kwa masilahi yake binafsi.

hahahaha...nimecheka sana
 
TBC inaemdeshwa kwa kodi zetu lakini bado inajifanya ni kama vile ni.mali ya CCM.
Tuanze na huku kwenye kodi zetu kabla hatujaanza kuhoji Mali za watu binafsi

Wanafanya kazi za Gazeti la UHURU na RADIO UHURU sasa na Mzee mengi nae anatumia vyombo vyake ajuavyo mwenyewe Haya ni matumizi mabaya ya Umiliki wa vyombo vya Habari pengine imetokana na yeye kujiona ni Gwiji wa Habari anaweza akafanya atakavyo hakuna wa kuhoja.
 
Wanafanya kazi za Gazeti la UHURU na RADIO UHURU sasa na Mzee mengi nae anatumia vyombo vyake ajuavyo mwenyewe Haya ni matumizi mabaya ya Umiliki wa vyombo vya Habari pengine imetokana na yeye kujiona ni Gwiji wa Habari anaweza akafanya atakavyo hakuna wa kuhoja.

Tunapaswa kwanza kuhoji wanaotumia kodi zetu,TBC inaendeshwa kwa kodi zetu,kwann iwr ni chombo cha propaganda cha CCM
 
Mengi ni Mchaga, na lazima atetee saccos yao. We ona riport anazomtuma Devota Minja kuzirusha, zimekaa ki UKAWA tupu, na kutwa kucha ni kuriport mikutano ya chagadema na mara malumbano ya hoja wanaletwa wasaga sumu wa kueneza chuki dhidi ya serikali, huyu mzee mnafiki sana.

Mwaka huu mtajibeba,mwishowe mtasema hata Mwenyekiti wenu JK ni CHADEMA.
 
Mengi ni Mchaga, na lazima atetee saccos yao. We ona riport anazomtuma Devota Minja kuzirusha, zimekaa ki UKAWA tupu, na kutwa kucha ni kuriport mikutano ya chagadema na mara malumbano ya hoja wanaletwa wasaga sumu wa kueneza chuki dhidi ya serikali, huyu mzee mnafiki sana.

For the nation to survive tribes must die
 
Ulitaka kitabu kizinduliwe kwenye makalio yako?
Ungepunguza kidogo, makali ya maneno yako.

Nadhani ungeishia tu kumwambia, je alitaka kitabu hicho kizinduliwe kwenye 'masaburi' yake?!
 
Sasa ni wakati wa vyombo vya Habari kujitambua na kujua wajibu wao huku watanzania nao wakijitahidi kuchambua Yale wanayoambiwa inapaswa watu waache kukariri kila wanalolisikia wajifunze kuchanganua mambo kwa umakini pasipo kumwamini kila anayekuja na hoja zake.
 
Mods mngekuwa mnatimiza wajibu wenu na kuwa fair kwa hili jamvi letu, ujinga kama huu wa mleta mada usingeruhusiwa kudumu hata kwa dakika tano. Kwa kweli mnaonesha dharau kubwa kwetu wana JF...fikiria mtu anaingia humu kwa mara ya kwanza kabisa halafu anakutana na upuuzi kama huu ulioletwa na anayejiita Makusudically; bila shaka akitudharau ni halali yake. Makusudi hapa ya Makusudically ni kuishushia hadhi JF, nothing more nothing less!

CC:
Cookie, Mhariri, Active, Moderator

Kuna kaupendeleo fulani sijui wengine tukiweka topic za mhimu huziondoa zingine zenye makosa kibao huweka nawalaumu mods hasa wale wa jukwaa la great thinkers.
 
Chadema 😛eace: Chadema people's power. ..😛eace: Tanzania. .Tanzania. ..people's😛eace😛ower!
 
acha ushamba....chadema kutumia ITV imekua shida????????weka mada za msingi
 
Cha kujiuliza je habari zinatolewa na ITV juu ya hicho chama kingine ni za UWONGO. Je kama ni ukweli mlitaka watanzania wusikie kupitia TV ip maana nchii haina TV ya TAIFA TBC ni uchafu kabisa. Haifai kutwa TV ya taifa hata kama hujaenda shule utangudua inaegemea chama cha CCM. Pia ITV ni TV ya mtu binafsi. Kama ilivyo ilivyo CNN kama obama na serikari yake ikileta ujinga CNN huwa haingalii kuwa ni serikari bali Taarifa zote na uwozo huwekwa wazi. Taarifa ya Habari ya TBC ni upuuzi mtupu ni kutuletea habari za mwenge Nape pamaoja yule Msomali. Kila siku ndio kichohicho hutasikia chadema wala NCCR au CuF mpka iwe negative news ndio utasikia Chema yatoka bungeni .mara ukawa wagomea bunge ila sababu hazisemwi I love ITV kitambooooo
 
Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.

Wewe zuzu kabisa kwanza inakuuma kitu gani viongozi wa cdm kupata coverage kubwa ktk chombo cha habari?
 
Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.

...we kichwa maji kweli,hebu leta tathmini ya tbc1,tbc2,tbc taifa na tbc fm,habari leo na dailynewz jinsi vyombo vyote hivyo vilivyo jivika koti la ccm,kisha ndo uinyooshee kidole itv...
 
Back
Top Bottom