Sasa wewe ulitakaje?
Inachofanya ITV ndiyo ethics za taaluma ya habari, ya kubalance habari. Kwa maana ya kutangaza habari za CCM, na vile vile kuzipa pia nafasi, habari toka vyama vya upinzani.
Pengine wewe ulichokuwa unataka, kwa kuwa Mengi ana kadi ya CCM, basi hata vyombo vyake, unataka viwe biased, wazi wazi kwa kupendelea CCM.
Taaluma ya habari hailikubali hilo, na ndiyo maana hata Star TV, ingawa mmiliki wake, Anthony Dialo, ni kada mkubwa sana wa CCM na pia ndiye mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Mwanza, lakini bado Star TV, angalau inajitahidi tahidi, kubalance habari.
Mtu peke yake ambaye anaushangaza umma wa watanzania, ni Clement Mshana, mkurugenzi wa TBC, ingawa yeye Mshana anajua wazi kuwa TBC ni steshani ya umma, na inaendeshwa na kodi za watanzania wote, wanaccm na wale wa vyama vya upinzani, lakini TBC. inaonyesha upendeleo wa wazi wazi kwa CCM, kiasi cha kudhani pengine chombo hicho kinaendeshwa kwa pesa ya michango, ya wanaCCM peke yake!!
mleta uzi ana akili ya kizamani sana ! Ile ya chama kushika hatamu ! Ama ni kikongwe au ni kiongozi wa ccm mwenye elimu duni mno ! Mengi siyo mhariri ,
Mengi ni ccm ambaye kajipenyeza Chadema kikabila na kinafiki Maana lengo lake ni kuombea Chadema ichukue Nchi awakomeshe wahindi wapinzani wake tu,hana chembe ya Uchungu na majanga yaliyowazunguka walalahoi yeye ana angalia mambo yake Binafsi na siku akiona Chadema wamepoteza nguvu atakuwa wa kwanza kuingia mitini .Lazima ukweli usemwe. Mengi kinachomsumbua ni ukabila. Uchaga ndo unaomsumbua. Kwa sababu na wewe ni mkabila ndio maana unajitia upofu. Wewe ni kati ya watu walionufaika kupitia ukabila. Ajira yako CHADEMA makao makuu ilifuata msingi wa ukabila tu. Hivyo hatutegemei mchango tofauti na huo.
kama chadema ni chama cha wachaga na mengi ni mchaga basi mpeni kaisari yaliyo ya kaisari. Ungeanza na tbc!
Tanzania ukishakuwa Tajiri lazima uwe CCM ili uendelee kuwa Tajiri sasa hamia sijui chadema kama hujala jeuri yako.
Sasa ww ulitaka alinde maslah ya nani? Familia yako? Kwani ulimsaidia kufikisha hyo company yake hapo ilipo..Mengi ni mfanyabiashara na yupo kwa ajili ya faida, na hyo tv yake c ya taifa..anatumia hela yake kuiendesha...au ulidhn anatumua kodi yako... ITV ni mali yake anaweza kuifanya lolote analotaka...Jamn cjui elimu zetu zinatusaidia nn,usiwe mshabiki tu bla kufanya reseach..
well said.Ni kweli Unafiki wa Kisiasa upo sana hapa Tz wapo wanaojipendekeza kwa Uwazi wengine hujipendekeza kimya kimya lakini kikubwa huwa ni kulinda masilahi Binafsi tu Hakuna mwenye uchungu na kero za masikini wa Tanzania .
Mengi ni mnafiki sana, Hana uzalendo hata chembe, yeye anaangalia nani analinda maslahi yake tu! Ndio maana sasa anawatumia CHADEMA na wabunge wake kwenye ugomvi wake Binafsi na Prof.Muhongo.
Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.
Unahis ata anajua Leo kuna habari gani zinazoenda hewan?acha kuotaMengi ni ccm ambaye kajipenyeza Chadema kikabila na kinafiki Maana lengo lake ni kuombea Chadema ichukue Nchi awakomeshe wahindi wapinzani wake tu,hana chembe ya Uchungu na majanga yaliyowazunguka walalahoi yeye ana angalia mambo yake Binafsi na siku akiona Chadema wamepoteza nguvu atakuwa wa kwanza kuingia mitini .
Msalani hivi ww kwa kutetea hawa wezi wanaofukarisha hii nchi unauzalendo gani? yamkini ww ni mmoja wao,lakini tambua kwamba dhulma wanazo fanyiwa watu wa nchii na hilo genge lenu (ccm) lazima zitalipwa.Mengi ni mnafiki sana, Hana uzalendo hata chembe, yeye anaangalia nani analinda maslahi yake tu! Ndio maana sasa anawatumia CHADEMA na wabunge wake kwenye ugomvi wake Binafsi na Prof.Muhongo.
Unahis ata anajua Leo kuna habari gani zinazoenda hewan?acha kuota
Msalani hivi ww kwa kutetea hawa wezi wanaofukarisha hii nchi unauzalendo gani? yamkini ww ni mmoja wao,lakini tambua kwamba dhulma wanazo fanyiwa watu wa nchii na hilo genge lenu (ccm) lazima zitalipwa.
Mengi ni mmoja ya wazalendo na ni tajiri pekee mwenye ubinadamu