Hivi Reginald Mengi ni CHADEMA?

Hivi Reginald Mengi ni CHADEMA?

Hizi siasa za Tanzania zipo Kama upepo watu wanabadilika kulingana na upepo.
 
Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.
Ni ccm
 
Ni kweli Mengi ni mchaga na Chadema yetu ni Full uchaga kwa kwenda mbele,lakini tatizo linakuja Kuwa mengi ni ccm lakini anajaribu kusaka huruma za wanachadema zimusaidie kwa masilahi yake binafsi.

Sasa tunapopiga debe humu kuwa CDM ni chama cha wachaga wakati tunajua fika kuwa kunaakina Mengi wengi ambao ni CCM huwa tunafanya hivyo kwa maana gani?? JF huwa tunajifanya maGT wakati wakati majority ni Poor Thinkers!!
 
kwel wewe ni zero

Wewe Mtawa na akili yako ya ubuyu usijifanye unajua ................. If you think you are a propaganda machine here, you are kidding yourself .................. your are pathetic!!
 
Anatumia mpaka adobe movie maker; kama chadema wamefanya mkutano hakuna washabiki anchanganya picha za mikutano ya 2015, chalinze alitumia sana na kalenga . Lkn mwishowe kaangukia pua.
 
Nenda kawaulize wale wafanyakazi wakongwe wa NBC Bank watakuambia Mengi alifanya nini hadi NBC ya zamani ikafirisika ! Pesa zake ni za kifisadi ana mbinu za kijanja janja kuliko unavyodhani ,Swala,vikoba,michezo ya bingo,viwanda vya revola komesha nk huku kuna Vioja ujanja mwingi wa kifisadi umejificha humo humo ukumbuke Mali zake zote kazipatia humo humo ccm sasa kaona Muhongo na wenzake wamegoma kumpatia Vitalu vya Gesi kaamua kuwashilikisha wananchi ili wamuonee huruma kwa masilahi yake Binafsi ,mengi ni ccm mjanja anayejipenyeza Chadema kuwalubuni wamsaidie kwa mambo yake Binafsi .
Mkuu, I'll
Hivi NBC ilifirisi Plka au tuliiuza kwa makaburu kwa bei sh 19 bil, sawa na bei ambayo pAsenal waliyolipwa na Real Madrid kwa ajili ya Nicolas Anelika.
 
Wana JF naomba mnisaidie kujua hili kwa uwazi pasipo matusi na kejeli.
Najua wazi kuwa Mengi kuwa mwanachama fulani cha Siasa siyo dhambi wsla kosa, lakini hoja yangu ni pale anapotumia fursa aliyo nayo kutumia vyombo vya habari kukashfu chama tawala, anatoa fursa kwa viongozi wa Chadema kutoa kashfa kwa vyama vingine na kuyapa muda mwingi sana matukano na kejeli hizo, mfano ITV hutangaza habari nyinngi sana za Chadema hususan ni zile za maneno ya wabunge wanaozungumza mambo ya kuiponda Serikali, Pia kuna tukio jingine nalo lilitushangaza Watanzania, Kwanini Mtei alizindua kitabu chake cha "gother to governor" kwenye Hotel ya Mtei? Je tuamini kwamba ni kwa vile wote wanatoka ukanda mmoja? Naomba majibu ya hoja siyo kejeli na matusi.

eti nini? Piga kazi acha ujinga. Ukabila utawauwa!
 
Back
Top Bottom