NUKTA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 454
- 413
Unamjua Mtaka?..Katika wakuu wa mikoa wa JPM huyo peke yake ndiye nampa pointi zote mia moja kwa hekima, busara na uchapa kazi.
Unamjua Mtaka?..Katika wakuu wa mikoa wa JPM huyo peke yake ndiye nampa pointi zote mia moja kwa hekima, busara na uchapa kazi.
inawezekana umechelewa kumjua, au umemjua baada ya media kuanza kukava habari zake! Ndio maisha yake.. but ubaya ni kwamba anachokisema, huwa hamaanishi, au anapotezeaHuyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Amemzidi yule wa Simiyu? TonnyKatika wakuu wa mikoa wa JPM huyo peke yake ndiye nampa pointi zote mia moja kwa hekima, busara na uchapa kazi.
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Hivi watu mnataka watu wote wawe sawa ?? Huyo ndivyo alivyo.
lovely!Ni kama comedian flan lakini maagizo yanatolewa na kufanyiwa kazi. Napenda staili yake
Ameona comedy inalipa!
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Mkuu jaribu kuulizia kwanza umfahamu mtu. Kwanza ni mtu wa utani na siku zote yuko hivyo, wewe unaonekana umemjua jana
Pili mkwara wake ni mbuzi hana ukatili, hana roho mbaya na hafukuzi watu au kusimamisha watu KAMA UNAVHOTAKA TUAMINI
Maagizo yake yanakuwa straight yanatoka moyoni na NDIVYO ALIVYO
Kusema amefyatuka ni kumkosea heshima!!! omba radhi kwa wanaomjua
Binadamu bwana...
Mh namkubali sana toka chikichichikichi eeeee,noma sana
Kama unaweza kumfokea mwanao mbele ya wenzake basi haufai kuwa mzazi na siku mwanao akikujibu mbovumbovu mbele ya WATU usimpige jua ni mbegu uliyoipanda.Elvischirwa hii nchi imechezewa sana, viongozi kuwaka kidogo sio viba
ya.
Natamani ingekuwa hvyo usemavyo... Huyu anapenda tu attention ya media; nkikumbuka alipokuwa naibu wazr tamisemi, bungeni ilikuwa n full comedy!Lakini afanyaje, engineer hana majibu ya vitu muhimu sana, sasa afanyaje, achekee naye halafu aondoke na kumshukuru sana.
Wakati mwingine tupunguze kejeli, kebehi, dhihaka kwa mtu mwenye msimamo, anayesimamia maslahi yetu, hata kama hatumpendi.
Anaitwa comedian sababu amesimama, kumbe tunahitaji wahuni watuongoze.
Tuchekeane tu, tuchukue viongozi wenye sura nzuri na tabasamu wacheshi, halafu tunalalamika hakuna huduma muhimu kumbe tuna wezi lakini ni wacheshi, sura na tabasamu nzuri.
Hizi ndizo akili zetu, siku zote tutapata wahuni wanajua akili zetu.