Umemaliza.
ila tunawekaje maslahi kwanza bila kufuta mfumo wa wazungu. Tutafute mfumo ambao tunashirikiana na kuwakilisha nchi yote,sehemu zote.
Inawezekana kuwa na wakilishi kutoka kila sehemu, kaskazini, kusini, mashariki magharibi, kuangalia maslahi ya kila mtu ila kwa akili zetu kila kitu lazima tufuate vitu vilivyowekwa na wakoloni.
Uwezo wetu ni kupanga vitu vyetu wenyewe flesh bado mdogo sana.
Pia wa akili zetu ukiongea ninavyoongea kila mtu anakuchukia, eti lazima uwe ccm au cdm kuonekana ni mzalendo.
Siku zote tutapata viongozi wanaotuburudha siku zote. Kwa sababu ndio tunaowapenda, hata kama hatujui, ukimpata kiongozi mzuri unajaribu kumtoa bila sababu za msingi. Chuki binafsi.
Ila lazima wenye akili, watudhibiti (kucontrol) hadi tutakapopopata akili. Hakuna mbadala, hakuna namna, njia nyingine.