Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,570
Binadamu bwana...
wivu umekutawalaHuyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
watasema umetumwa😛😛😛Mi namjua mchapa kazi sasa nikisema sana nitaonekana Nampa promo
Mbona anayemlipa mshahara hajalalamika sasa ww kama nani unalalamika? Maneno ndio kazi?? Kwani kama akifanya comedy na kazi zinaenda tabu iko wapi?? Acha wivu wa kikekeekeeekoooHuyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Kadri siku zinavyoenda naona ndiyo anazidi ' Kuharibu ' huku Yeye akidhani ni ' Sifa ' na kibaya zaidi hata Watu walio nao jirani / karibu hawampi ushauri. Kiutendaji namkubali sana na wala sina wasiwasi nae kwani nina Historia nae / yake nzuri tokea huko nyuma kote alikotoka ila siku hizi anakengeuka / anakosea mno. Hata hivyo ' ameshachoka ' hivyo simshangai sana au kivile.
KONKI KONKI KONKI MASTA.We kweli king kong
Na ilituuma sana kupitiwa na mafuriko, lakin angekuwa mbunge kuna nafasi fulani anafaaYule ni mchapa kazi sana aisee waulize Wana Tabora watakwambia.
Tafsiri ya neno hekima na busara naona imebadirika siku hizi. Kama Mwanry anavyoKatika wakuu wa mikoa wa JPM huyo peke yake ndiye nampa pointi zote mia moja kwa hekima, busara na uchapa kazi.
Ni kiongozi asiye na staha, kiongozi anayewafokea viongozi wenzake kama watoto watukutu! Akisahau heshima walizonazo kwenye jamii, yeye ni bosi.Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Elvischirwa hii nchi imechezewa sana, viongozi kuwaka kidogo sio vibaya.Ni kiongozi asiye na staha, kiongozi anayewafokea viongozi wenzake kama watoto watukutu! Akisahau heshima walizonazo kwenye jamii, yeye ni bosi.
Vichaa...Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Vichaa...
Kweli aggrey ilikuwa ni upepo tu hafu mbunge aliye mshinda akajiuzulu tena akarudi ccm. Sijui huyo mbunge kapotelea wapi?Na ilituuma sana kupitiwa na mafuriko, lakin angekuwa mbunge kuna nafasi fulani anafaa