Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Kick za kisiasa, nadhan anatafuta kick ya kurudi jimbon kugombea tena...
maana 2015, aligalagazwa vibaya mno
 
Katika hali ya kawaida hutapata wa kumtusi Mwanri humu kwani anatoka kanda ya wapenda majungu na ubinafsi
 
Juzi nilimsikia anamwambia mtangazaji kuwa ameongeza list ya watakaosukumiwa ndani kwa kosa la kufungisha ndoa kwa mabinti wadogo.
Zamani ilikuwa Mchungaji, wapika ubwabwa, wapiga vigelegele, wala ubwabwa wote.
Sasa kaongezea na jirani sukumia ndani.
Tz kuna raha sana
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Sasa hivi anatafuta media attentiontu wanasema Kiki.
 
Hawa ndio vichaa wa Magufuli lakini ni bora kichaa cha Aggrey ni cha kuleta maendeleo kuliko kichaa cha mzee wa mashoga.
 
Yes, naamini hujaona tatizo lake. As long as wewe ni m-ccm (which means ume-delegate uwezo wako wa kufikiria kwa watu wengine) hutaweza kuona tatizo lake. Ila siku hao uliowa-delegate huo uwezo wako wa akili wakikuambia upumbavu wake nitakuona hapa ukishangilia.
Mkuu ufuasi wa siasa ni uhuru wa mtu. Acha kulazimishia mapenzi maana hapa unataka jamaa amuone Mwanri ni tatizo kwa vigezo vyako ya mahaba.
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Wakati ule akiwa naibu waziri Tamisemi alikuwa ni burudani tosha bungeni wakati akijibu maswali ya wabunge

Huyu ni upepo wa Ukawa tu ndio ulimnyima fursa ya kurudi bungeni lakini mimi kwangu namuona yuko poa tu na mzuka na kazi.
 
Ameona comedy inalipa!

Lakini afanyaje, engineer hana majibu ya vitu muhimu sana, sasa afanyaje, achekee naye halafu aondoke na kumshukuru sana.

Wakati mwingine tupunguze kejeli, kebehi, dhihaka kwa mtu mwenye msimamo, anayesimamia maslahi yetu, hata kama hatumpendi.

Anaitwa comedian sababu amesimama, kumbe tunahitaji wahuni watuongoze.

Tuchekeane tu, tuchukue viongozi wenye sura nzuri na tabasamu wacheshi, halafu tunalalamika hakuna huduma muhimu kumbe tuna wezi lakini ni wacheshi, sura na tabasamu nzuri.

Hizi ndizo akili zetu, siku zote tutapata wahuni wanajua akili zetu.
 
Siku nimeshikana nae mikono ni mtu mstarabu kwahiyo nikawaida yake kuongea hivyo hata akiwa kanisani kwa sababu sehemu anayongoza kuna mandina hivi
 
Ile anasema ule ubwa bwa unapigwa pigwa hivi mpaka akina mama wanasema achikichiki chikichiii hee×4
anaburudani sana, sasa hivi viongozi wengi matamko yao yanaumiza, angalau huyu amegeuka burudani...napenda kile kipande chake cha (chikichii chikichiii)
 
Yes, naamini hujaona tatizo lake. As long as wewe ni m-ccm (which means ume-delegate uwezo wako wa kufikiria kwa watu wengine) hutaweza kuona tatizo lake. Ila siku hao uliowa-delegate huo uwezo wako wa akili wakikuambia upumbavu wake nitakuona hapa ukishangilia.
Mkuu wewe uwezo wako wa kufikiri umeuazima kwa nani?
 
Back
Top Bottom