cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,655
What do you mean?Katika hali ya kawaida hutapata wa kumtusi Mwanri humu kwani anatoka kanda ya wapenda majungu na ubinafsi
What do you mean?Katika hali ya kawaida hutapata wa kumtusi Mwanri humu kwani anatoka kanda ya wapenda majungu na ubinafsi
Yule ni Kinyago cha kumchekesha Mfalmeangalau tufurahie vitimbi vyake, mwache aendelee hana madhara
Yule ni Kinyago cha kumchekesha Mfalmeangalau tufurahie vitimbi vyake, mwache aendelee hana madhara
Hata mmSijaona tatizo la mwanri
Tayari ushampa sana tuMi namjua mchapa kazi sasa nikisema sana nitaonekana Nampa promo
Tayari ushampa sana tu
Namkubali sana,ni mchapakazi haswaa!Mi namjua mchapa kazi sasa nikisema sana nitaonekana Nampa promo
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Mkuu wewe uwezo wako wa kufikiri umeuazima kwa nani?
HakikaaaAmeshachoka kuwa Mtumishi wa Umma na sasa analazimisha ' Kutumbuliwa ' ila naona ' Watumbuaji ' wenyewe nao ' wamemkaukia / wamempotezea ' tu, labda wanasubiri hadi Siku ajisaidie moja ya ' Haja ' mbele ya ' Kadamnasi ' ya Watu au Kikaoni ndipo watamuelewa. Hata hivyo naona siku zake za kuwa kama Mkuu wa Mkoa wa Tabora haziko mbali sana na ni suala la muda tu atapumzishwa.
Chikichi chikichi chikichi anaelekea kuwa chiziHuyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah! esopo! Huyu anaelekea kuwa chizi
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Ameshachoka kuwa Mtumishi wa Umma na sasa analazimisha ' Kutumbuliwa ' ila naona ' Watumbuaji ' wenyewe nao ' wamemkaukia / wamempotezea ' tu, labda wanasubiri hadi Siku ajisaidie moja ya ' Haja ' mbele ya ' Kadamnasi ' ya Watu au Kikaoni ndipo watamuelewa. Hata hivyo naona siku zake za kuwa kama Mkuu wa Mkoa wa Tabora haziko mbali sana na ni suala la muda tu atapumzishwa.
Wabongo walafi watu kama huyu mzee ndo wanafaa waafrika mi huwa siwaelewi aisee walafi mnoTukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.
Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.
Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
Kwanini unasema hivi?
We kweli king kongAmekuwa kituko sasa,magu naomba amtumbue tu tupumzike na FUTUHI zake.