Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Kama unaweza kumfokea mwanao mbele ya wenzake basi haufai kuwa mzazi na siku mwanao akikujibu mbovumbovu mbele ya WATU usimpige jua ni mbegu uliyoipanda.

Elvischirwa kama mwanao haeleweki, mbishi, anafafanya anavyotaka.

Unafanyaje?
 
Natamani ingekuwa hvyo usemavyo... Huyu anapenda tu attention ya media; nkikumbuka alipokuwa naibu wazr tamisemi, bungeni ilikuwa n full comedy!

Kwahiyo unaona na yeye ni comedian ndio itampa mamlaka, ila hajitambui kabisa, hajui kazi aisee.
 
Kwanini unafikiria hivyo, au sababu humpendi, angekuwa mzungu angepewa sifa kibao.

Angalia vitu alivyofanya, anavyofanya.
 
Hapana, sioni hvyo. Ila n propagandist... He is not that much serious, he is acting. That's what I am saying!

Kwanini unafikiria hivyo, au sababu humpendi, angekuwa mzungu angepewa sifa kibao.

Angalia vitu alivyofanya, anavyofanya.

Wewe ungekuwa RC ungefanya nini, ungechukua hatua gani?
 
Acha mtu. afanye kile ambacho moyo wake unafurahia ili mradi tu havunji sheria,binafsi nampenda sana jamaa kwani ni mcheshi,acha kupangia watu kufanya vile wewe unataka
 
Hahaaaaa jamani yule Baba angu kabisa namweshimu sana aisee naanzaje kwanza?


Hahaha cariha una good sense of humour. Ila simamia ukweli hata kama kila mtu atakuchukia hapa JF, Ndivyo tulivyo hatupendi ukweli.
 
-mwanri ni mchapa kazi

-jasiri

-ni kiongozi si mtawala

-ndio mtu anayewaprove wrong vijana wanaodhani raisi anawachukia watu wa kanda ile, anachoangalia raisi ni kazi tu, mwanri ni mutu ya kazi
 
Tukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.

Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.

Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
Kama mleta thread alivyoandika, nami nashangaa amepatwa na nini. Wengi tunafahamu umakini wake, alipokuwa Mbunge na Waziri.Ni kweli ni MCHAPA KAZI, lakini sio wa VICHEKESHO CHEKESHO VYA KIJINGA jukwaani au makanisani.
 
Kama mleta thread alivyoandika, nami nashangaa amepatwa na nini. Wengi tunafahamu umakini wake, alipokuwa Mbunge na Waziri.Ni kweli ni MCHAPA KAZI, lakini sio wa VICHEKESHO CHEKESHO VYA KIJINGA jukwaani au makanisani.

Ghiti milimo unauwezo mkubwa wa kuangalia vitu bila kuangalia maslahi binafsi, ukabila, ukanda, chama, umaarufu, ushukaji au likes ni wachache sana kwenye jamii yetu wana uwezo wa kumpima mtu kwa kazi zake tu.
 
Mimi nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko. Hyo ni kanuni mojawapo ya mwana TANU naipenda sana


Kumbe wewe ni ccm hamna tatizo ila ccm, cdm, tusio na vyama wote tuwe wakweli. Wote ni Watanzania. Mimi sina chama naona vyama ni kama inapunguza wako wa kuangalia vitu vizuri. Ila nawaheshimu watu wote bila kujali vyama vyao, itikadi zao.

Huu mfumo vyama vingi umetengenezwa na mtu ila kwetu Africa hatuuwezi.

Unajua USA, UK, China wote wanaangalia maslahi ya Taifa uwe Democrat, Republican, Labour au Consevative.

Sisi tunapigana kwa vitu vidogo sana, tunasahau wote ni ndugu.

Ila ndivyo tulivyo uwezo wetu wa kufikiri bado ni mdogo sana. Ni kama hatujui nguvu kama taifa inapatikana vipi?

Ni kwamba lazima utumie watu wako wote,talents zote ila sisi kila kitu tunaingiza siasa (kubaguana).
 
Mwacheni achape kazi, acheni majungu. Vipo vyombo vya kupima utendaji kazi
 
Back
Top Bottom