Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

2020 kuna yule boya wa Kimaasai alijifanya kumuunga mkono mkuu kwa mahaba ya kinafiki nadhani iwe isiwe lazima huyu Mwangri arudi kumfungasha vilago akafanye kazi aliyoizoea ya kuchunga ng'ombe.
 
Analeta FUTUHI mbele ya kamera tu......mambo ya kufanya unanyoosha mkono akukamate akuweke ndani ndio nini sasa anafanya? Wananchi wanataka maendeleo kama kuna kiongozi kafanya ubadhirifu kwenye miradi ya halmashauri fuata taratibu za kuwawajibisha.
Kwa hiyo pale ilikuwa ni spesho kwa ajili ya camera?
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Ameona comedy inalipa!
 
Sijaona tatizo la mwanri

Yes, naamini hujaona tatizo lake. As long as wewe ni m-ccm (which means ume-delegate uwezo wako wa kufikiria kwa watu wengine) hutaweza kuona tatizo lake. Ila siku hao uliowa-delegate huo uwezo wako wa akili wakikuambia upumbavu wake nitakuona hapa ukishangilia.
 
Lights Camera Action Take One wote ambao anawakaripia mbele za kamera hakuna kinachofuata baada ya tukio.


Lakini inawafanya watu watafakari kabla ya kuiba kodi zetu.

Lazima tuwe at least mtu mmoja, au wawili anayekaripiria hadharani.

Wengine wanaweza kuwa wametulia, wapole.
 
Wewe unaona kawehuka
Lkn wenzio Tabora wanampenda sana maana anaibadilisha sana Tabora kuliko wakuu waliopita
Maana mkoa wa Tabora ulikuwa nyuma mnooo
 
Back
Top Bottom