Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Ila ukimwona ni mcha Mungu kweli bhana anasali kkkt
anafaa kuwa mc
Ila ukimwona ni mcha Mungu kweli bhana anasali kkkt
anafaa kuwa mc
anafaa kuwa mc
mwanamke akikosa akili mkimbie sana.Ila ukimwona ni mcha Mungu kweli bhana anasali kkkt
Mkuu umefikiria ninimwanamke akikosa akili mkimbie sana.
naogopa mrembo asiye na akili
hii ndiyo kanuni yangu ya maisha, huwa sigusi au hata kumkaribia mwanamke asiye na akili ni janga, siwezi kueleza kwa maneno machache, ukamuulize Kiwia anayesimangwa kila kukicha mitandaoni atakupa uzoefu na ladha ya mwanamke asiye na akiliMkuu umefikiria nini



hii ndiyo kanuni yangu ya maisha, huwa sigusi au hata kumkaribia mwanamke asiye na akili ni janga, siwezi kueleza kwa maneno machache, ukamuulize Kiwia anayesimangwa kila kukicha mitandaoni atakupa uzoefu na ladha ya mwanamke asiye na akili
![]()
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"[/QUOT.E].
Ni chizi. Mamlaka yake ya uteuzi ni "kichaa".
Tulia unapoandika. Usiwe na nyege za mikononi, mi sijakkuelewa kabisa.Tukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.
Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.
Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
Tulia unapoandika. Usiwe na nyege za mikononi, mi sijakkuelewa kabisa.
Waarabu wa pemba......Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
2020 kuna yule boya wa Kimaasai alijifanya kumuunga mkono mkuu kwa mahaba ya kinafiki nadhani iwe isiwe lazima huyu Mwangri arudi kumfungasha vilago akafanye kazi aliyoizoea ya kuchunga ng'ombe.
Tulia unapoandika. Usiwe na nyege za mikononi, mi sijakkuelewa kabisa.
Kiwia or kilewo right?hii ndiyo kanuni yangu ya maisha, huwa sigusi au hata kumkaribia mwanamke asiye na akili ni janga, siwezi kueleza kwa maneno machache, ukamuulize Kiwia anayesimangwa kila kukicha mitandaoni atakupa uzoefu na ladha ya mwanamke asiye na akili
![]()