Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Tukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.

Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.

Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Amekuwa kituko sasa,magu naomba amtumbue tu tupumzike na FUTUHI zake.
 
Ccm wote wasanii wa dar kazidi ndiyo maana miaka karibu 60 sasa hakuna maendeleo
 
Wewe nawe! Mtu hata akijinyea mradi katoka ccm utasema hiyo ni bekari ya kufyatua keki! Kwako ni kusifu tuu
mtu ana stroke ya akili unang'ang'ana naye wanini?
 
Back
Top Bottom