ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 4,452
- 5,670
Tukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.
Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.
Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.
Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.


