anasifika kwa mambo ya hovyohovyo kama RPC Wa Dodoma. hovyo kabisa huyuHuyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Huyo si ni mchaga mwenzio lazima usifieMimi nimependa style yake, sio kama za hao watekaji.
Huyo si ni mchaga mwenzio lazima usifie
Mzee wa kupiga chenga mpaka anaukalia mpira...haaaaaaangalau tufurahie vitimbi vyake, mwache aendelee hana madhara mzee wa TTorronttoo
Mkuu niko tabora nimependa huo utenzi wa chikichi chikichi afu wanarudi nyuma weka ndani ubwabwa pia weka ndanii so funny aise ila kazi anachapa sanaaanaburudani sana, sasa hivi viongozi wengi matamko yao yanaumiza, angalau huyu amegeuka burudani...napenda kile kipande chake cha (chikichii chikichiii)
![]()
ohoo so imekuwa utenzi wa nyimbo kwenye harusi ama?Mkuu niko tabora nimependa huo utenzi wa chikichi chikichi afu wanarudi nyuma weka ndani ubwabwa pia weka ndanii so funny aise ila kazi anachapa sanaa
Hayo wasema wwohoo so imekuwa utenzi wa nyimbo kwenye harusi ama?
nimeuliza tu mkuuHayo wasema ww
Hatajibu sina labda ulivyoelewa ivo n sahihi zaidinimeuliza tu mkuu
Kama taarifa ya habari ya jana anavyoongea kwa vitisho na kuweka watu mdani bila hata kusikiliza,sifa zimezidi kuliko hekima!!watu wa hivi huwa hawalast kabisaaa.Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Kweli ni mchapa kazi Mwanri na MtakaKatika wakuu wa mikoa wa JPM huyo peke yake ndiye nampa pointi zote mia moja kwa hekima, busara na uchapa kazi.


Kwahiyo wewe ulitaka asemaje mkuu?
Tukipata mtu mchapakazi, anayeziangilia kodi zetu zinatumiwa vizuri tunaanza kulalamika.
Tunahitaji watu kama huyu waangilie pesa zetu kodi zetu zinatumika ipasavyo. Wawe wakali kwelikweli.
Mimi naona anafaaa kuwa waziri hata wa kilimo au viwanda.
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.
Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.
Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!
Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Wewe wasema...Haya afukuzwe, upewe mkoa wewe tuone mafanikio yako.
Ni upeo wa kichama, kidini, kikabila, umaarufu kwenye mitando, kikanda, itikadi ndio unatusumbua.