Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Hivi RC Agrey Mwanri ni mchekeshaji?

Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Ni fan wake leo katumia neno fyekelea mbali akielezea msaadz wa benki yz dunia
 
Huyu Jamaa ni tangu long time kitambo.

Aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha miaka ya Mwishoni ya Mzee Mwinyi kama sikosei.

Nakumbuka nilihudhuria mkutano wake mmoja wa hadhara...moja ya maneno niliyomsikia na sijasahau mpaka leo, nadhani kulikuwa na tatizo la Wageni/Wahamiaji Haramu Mtaani, alisema "ukimuona Mtu nywele zake hazieleweki eleweki...nywele kama zimelambwa na Paka hivi toa taarifa"
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"

Ni mchapakazi sana ila wakati mwingine anatumia comedy kufikia malengo yake (kuwasaidia wananchi)

Ila kwenye kusimamia kodi zako amesimama.
 
Namkubali sana Aggrey Mwanri. Jamaa huwa hacheki wala hachekeshi ila audience ndiyo hucheka. Jamaa kwenye kazi hana maskhara na mtu. Ni mpiga kazi mzuri, kiongozi mzuri, mfuatiliaji mzuri na ni msomi na mweledi mzuri.
 
Huyu RC Agrey Mwanri sasa amegeuka kuwa comedian wa Tabora.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikitoa clips mbalimbali ambazo anafanya vituko na ukimuangalia ni kama kwa sasa haziko level.

Mara fyekelea mbali, Sukumia ndani, jifanye unajikuna, akienda huko site ni makelele tu daah!

Any way ndiye aina ya watu anaowataka "BWANA YULE"
Bahati mbaya saana, naona mkuu bado hujamfahamu Mwanri. Ni moja kati ya watu makini saana tena mwenye upeo wa juu saana katika kuelewa. Unayoyaona kwenye mitandao ni namna nyingine ya watu kujitafutia riziki kupitia yeye, lakini nikuhakikishie ni moja kati ya watu makini saana katika serikali tuliyonayo.
 
Kwanza kati ya mikoa migumu kuiongoza Tabora mmoja wapo
Watu wake wengi mamwinyi,wanaendekeza ushirikina,watoto wanaolewa wadogo,pombe za kienyeji mitaani hasa ng'ambo huko,watu wanashindia pombe
Mwanri kaenda kuibadilisha Tabora
Hlf mtu haijui Tabora wala history yake nyuma ya wakuu walioondoka pale anaanza kumksema vby Mwanri
Mkoa wa Tabora ushapelekewa sana wakuu waliokuwa wanajeshi lkn wameshindwa
 
Yule mzee anadata sijui nini kinamdatisha

Nyie wanawake wa Kinyamwezi mmempa mzee mzigo mzito aubebe wakati sio Mnyamwezi ?

Achana na haya ni bonge moja ya kiongozi .

Hivi Deo Kisandu Masko yupo ?
 
Vipi Dar ingekuwa tokea enzi iwe dodoma au Mwanza au watanzania official language ingekuwa kimombo nafikiri kila mtu angeongea point tu na wala tusingeongea blaablaa kwani lugha kiswahili ndo chanzo .RC Mwanza anachapa kazi sana lakini sikia wanavyocomment ovyo!!
 
Wana Tabora tumemkubali, tunampanga kumpa Uchifu wa Unyanyembe sio kama kale ka Bwa-mdogo huko kwa wala nyama za watu. Pia tunamtafutia mke mdogo
 
Back
Top Bottom