deposits za sekta binafsi zimefikia hicho kiwangoUfafanuzi kidogo kama hutojali
Kila kitu mnachosema ninyi CCM WATANZANIA hawawaamini kutokana na janja janja zenu zilizopindukia mjirikebishebenki ndio inatunza amana
JANJA JANJA ZIPI MKUU?Kila kitu mnachosema ninyi CCM WATANZANIA hawawaamini kutokana na janja janja zenu zilizopindukia mjirikebishe
Hizo siyo pesa za mgao wee dogo, ni zetu sisi tulioweka akiba huko. Huwezi gawiwa akiba yangu kirahisi.😀 😀 😀nifosieni ata afu tatu ya kula na mie kwenye huo mgawo
Akili kubwa na utulivu wa Hali ya Juu.Chini ya Rais Samia amana zimefikia TZS 42Trilioni,
Tuulizane mama amewezaje yote haya?
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na kiasi cha amana(deposits) kwa fedha za ndani (TZS) na amana kwa fedha za kigeni ($) jumla ya TZS23Trilioni mwaka 2020, Kiasi hiki pamoja na amana za Seiikali kilifikia jumla ya TZS 24Trilioni kwa mwaka 2020.
Mwaka 2024 kiasi hicho cha amana kiliongezeka na kufikia TZS40Trilioni kwa fedha za ndani na fedha za kigeni,Wakati pamoja na amana za serikali kiasi hiki kilifikia TZS42Trilioni, Hivyo chini ya Rais Samia amana ziliongezeka kwa TZS18Trilioni sawa na 75%.Hiki ni kiashiria kuwa Watanzania wana pesa za kula na kusaza na kuweka kwenye akaunti zao za amana
Unaposema watanzania Wana pesa za kula na kusaza unajua ulichokiandika? Kwa Sasa kuna mpaka mkubwa sana kati ya tabaka la juu na tabaka la chiniChini ya Rais Samia amana zimefikia TZS 42Trilioni,
Tuulizane mama amewezaje yote haya?
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na kiasi cha amana(deposits) kwa fedha za ndani (TZS) na amana kwa fedha za kigeni ($) jumla ya TZS23Trilioni mwaka 2020, Kiasi hiki pamoja na amana za Seiikali kilifikia jumla ya TZS 24Trilioni kwa mwaka 2020.
Mwaka 2024 kiasi hicho cha amana kiliongezeka na kufikia TZS40Trilioni kwa fedha za ndani na fedha za kigeni,Wakati pamoja na amana za serikali kiasi hiki kilifikia TZS42Trilioni, Hivyo chini ya Rais Samia amana ziliongezeka kwa TZS18Trilioni sawa na 75%.Hiki ni kiashiria kuwa Watanzania wana pesa za kula na kusaza na kuweka kwenye akaunti zao za amana
Mtu anawezaje kuweka pesa benki kama hanazo?Unaposema watanzania Wana pesa za kula na kusaza unajua ulichokiandika? Kwa Sasa kuna mpaka mkubwa sana kati ya tabaka la juu na tabaka la chini
Unapaswa kusema tabaka la juu la watanzania Wana pesa za kula na kusaza usiseme watanzania
Kila sehem nyie ni janja janja, janja ya nyani sisi wananchi kwisha jua nyie 😄😄JANJA JANJA ZIPI MKUU?
achana na mawazo potufuKila sehem nyie ni janja janja, janja ya nyani sisi wananchi kwisha jua nyie 😄😄
sijaelewa hapa mkuu40 - 18 = 22.
Mama amefanikiwa baada ya kuongeza vyanzo vipya vya kodi kwa sehemu kubwa, kupanda kwa mapato ya ndani yanayokusanywa na kuongezeka kwa New investors kwa ndani na nje.....Asante sana Mama na bado tunazidi kuongeza kupandaChini ya Rais Samia amana zimefikia TZS 42Trilioni,
Tuulizane mama amewezaje yote haya?
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na kiasi cha amana(deposits) kwa fedha za ndani (TZS) na amana kwa fedha za kigeni ($) jumla ya TZS23Trilioni mwaka 2020, Kiasi hiki pamoja na amana za Seiikali kilifikia jumla ya TZS 24Trilioni kwa mwaka 2020.
Mwaka 2024 kiasi hicho cha amana kiliongezeka na kufikia TZS40Trilioni kwa fedha za ndani na fedha za kigeni,Wakati pamoja na amana za serikali kiasi hiki kilifikia TZS42Trilioni, Hivyo chini ya Rais Samia amana ziliongezeka kwa TZS18Trilioni sawa na 75%.Hiki ni kiashiria kuwa Watanzania wana pesa za kula na kusaza na kuweka kwenye akaunti zao za amana
sahihi kabisaMama amefanikiwa baada ya kuongeza vyanzo vipya vya kodi kwa sehemu kubwa, kupanda kwa mapato ya ndani yanayokusanywa na kuongezeka kwa New investors kwa ndani na nje.....Asante sana Mama na bado tunazidi kuongeza kupanda
Mmechokwa asee hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho mwisho wenu ndo huuuachana na mawazo potufu
bado sanaMmechokwa asee hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho mwisho wenu ndo huuu
Utaonabado sana
NI UPAMBANAJI TU😀 😀 😀nifosieni ata afu tatu ya kula na mie kwenye huo mgawo
hapanaNadhani ungeongelea na upande wa madeni, kwasasa deni la taifa ni over 112 Trilioni.
deni ni Trilioni 107Nadhani ungeongelea na upande wa madeni, kwasasa deni la taifa ni over 112 Trilioni.