Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,579
- 2,906
Chini ya Rais Samia amana zimefikia TZS 42Trilioni,
Tuulizane mama amewezaje yote haya?
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na kiasi cha amana(deposits) kwa fedha za ndani (TZS) na amana kwa fedha za kigeni ($) jumla ya TZS23Trilioni mwaka 2020, Kiasi hiki pamoja na amana za Seiikali kilifikia jumla ya TZS 24Trilioni kwa mwaka 2020.
Mwaka 2024 kiasi hicho cha amana kiliongezeka na kufikia TZS40Trilioni kwa fedha za ndani na fedha za kigeni,Wakati pamoja na amana za serikali kiasi hiki kilifikia TZS42Trilioni, Hivyo chini ya Rais Samia amana ziliongezeka kwa TZS18Trilioni sawa na 75%.Hiki ni kiashiria kuwa Watanzania wana pesa za kula na kusaza na kuweka kwenye akaunti zao za amana
Tuulizane mama amewezaje yote haya?
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na kiasi cha amana(deposits) kwa fedha za ndani (TZS) na amana kwa fedha za kigeni ($) jumla ya TZS23Trilioni mwaka 2020, Kiasi hiki pamoja na amana za Seiikali kilifikia jumla ya TZS 24Trilioni kwa mwaka 2020.
Mwaka 2024 kiasi hicho cha amana kiliongezeka na kufikia TZS40Trilioni kwa fedha za ndani na fedha za kigeni,Wakati pamoja na amana za serikali kiasi hiki kilifikia TZS42Trilioni, Hivyo chini ya Rais Samia amana ziliongezeka kwa TZS18Trilioni sawa na 75%.Hiki ni kiashiria kuwa Watanzania wana pesa za kula na kusaza na kuweka kwenye akaunti zao za amana