Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
c bora hata hao safar zao zilikua na faida kwa mataifa yao,sasa huyu ndugu jk yeye cjui hzo zake zna manufaa gan kwa watz zaidi ya hasara!Huyo anafanana na akina Vasco Da Gama na Christopher Columbus! yeye ni Voyage kwa kwenda mbele hahahahahaahahaa Hivi hajui tuna matatizo ya umeme, Njaa yeyeni kuzurura tuuuuuuuuuuuuu