Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hivi inakuaje mtu amekata tiketi na kulipia kwa wakati, halafu kufika Airport mnasema hakuna ndege mpaka kesho yake? Huu ni ubabaishaji uliotukuka kabisa, inakera na kuudhi na kushusha hadhi ya usafiri wa anga. Inakuaje kuwe na over booking??
Mnafanya usafiri wa ndege sio wa kutumainia tena, mathalan mtu anaenda kwenye usaili ama anaunganisha ndege kesho yake- ni kiasi gani atapoteza dira ya safari nzima? Inakera sana na ndio maana watu weupe wanatudharau kwa kutokua makini na mipango yetu.
Haya, mtu kacheleweshwa sawa, mnampeleka hotel ya kichochoroni huko, mkitamba 'eat and drink' whatever you like, all bills will be shout out by us! Very low standard accomodation, aibu sana na bahati mbaya Tanzania hakuna Consumer Bureau, watu kwenda kulalamika.
Huo ni ujuha, upuuzi na mnajitakia laana kwa kupotezea watu kazi, biashara na mipango yao. Ninashauri hii kampuni ichunguzwe na hata boss wao ajipange upya. Hivi Precission Air mna akili? Dunia ya leo kuwe na over booking na kuacha abiria kweli??
Mnaudhi sana
Mnafanya usafiri wa ndege sio wa kutumainia tena, mathalan mtu anaenda kwenye usaili ama anaunganisha ndege kesho yake- ni kiasi gani atapoteza dira ya safari nzima? Inakera sana na ndio maana watu weupe wanatudharau kwa kutokua makini na mipango yetu.
Haya, mtu kacheleweshwa sawa, mnampeleka hotel ya kichochoroni huko, mkitamba 'eat and drink' whatever you like, all bills will be shout out by us! Very low standard accomodation, aibu sana na bahati mbaya Tanzania hakuna Consumer Bureau, watu kwenda kulalamika.
Huo ni ujuha, upuuzi na mnajitakia laana kwa kupotezea watu kazi, biashara na mipango yao. Ninashauri hii kampuni ichunguzwe na hata boss wao ajipange upya. Hivi Precission Air mna akili? Dunia ya leo kuwe na over booking na kuacha abiria kweli??
Mnaudhi sana