Umenisikitisha sana.
Kwa hiyo unakubaliana na hizi overbookings kama za ngorika na unatuaminisha it is a standard procedure?
Wanachosema wao ni kua sio kila anaefanya booking basi atasafiri sababu mara nyingi kunakuaga na "No Show" hivyo kujikuta wakienda pungufu.
Sasa basi overbooking hua inakuwepo kwa ajili ya ku-cover hizi "No Show". Labda tatizo ni kua issue nzima ya No Show in uncertain tu, hivyo inaweza iwepo au isiwepo. Ikitokea wote mmekuja ndio matatizo kama haya hutokea.
Mkuu,Nahisi kama sijaelewa hii maelezo yako mkuu...
Yaani wateja wa Precision hadi wanapoenda airport wanakuwa bado hawajaconfirm safari zao (bookings zao)?
Mkuu,
Ndege inaweza kuchukua abiria tuseme 42 kwa hizi ATR ndogo. Sasa kwenye kuuza tickets ya ndege hiyo waweza kuta wameuza mpaka tickets 45 wakitegemea sio wote watakao-comfirm. Naonaga wanafanya hivi zaidi kwa routes za asubuhi.
Shida inakuja pale ambapo wame-confirm wote kua watasafiri. Hapo ndo linakuja swala la alie check-in mapema ndo anapata siti, aliechelewa anarushiwa ndege inayofuata. Na sometimes wanaombeaga kwa shirika lingine then watakatana wenyewe.
Yes,Duh!!!
Huu utaratibu mbona umekaa kijanja hivi...
Kwa kawaida mashirika ya ndege yaliyostaarabika, tiketi hutolewa sawasawa na idadi kamili...
Kwa watu wanaozidi huwa wanapewa tiketi zile za standby na huwa wanajua kabisa kuwa nafasi yao ya kusafiri itategemea watu wataocancel safari zao...
Kwa mantiki hii hata mtu akikosa kusafiri anajua kabisa ni kwa vile alikuwa na standby ticket na atahamishiwa ndege ya mapema inayofuata...
Wanachosema wao ni kua sio kila anaefanya booking basi atasafiri sababu mara nyingi kunakuaga na "No Show" hivyo kujikuta wakienda pungufu.
Sasa basi overbooking hua inakuwepo kwa ajili ya ku-cover hizi "No Show". Labda tatizo ni kua issue nzima ya No Show in uncertain tu, hivyo inaweza iwepo au isiwepo. Ikitokea wote mmekuja ndio matatizo kama haya hutokea.
It's not logic kucover no show kwa overbooking. Ni tamaa ya pesa mzee.
Kwanza abiria akiwa no show hasara sio ya mwenye ndege cause ye anakuwa ameshakamua revenue yake. Hasara inakuwa ya msafiri. Sasa airliner hawezi pata hasara kwa sababu anakuwa ameshapata revenue yake. Anaweza kupeleka ndege Hata kwa abiria watano. What's the worry?
Wanachofanya Mara nyingi ni speculation tu which leads to overbooking hakunaga kingine.
Tamaa ya kupata hela zaidi
Jerrymsigwa
Mkuu,
Simple.
Huna haja ya kulalamika.
File a lawsuit ukidai fidia ya damage caused.
Calculate how much you have lost by you delaying your destination. Hizo case zipo sana. Na huwa wanalipa
Jerrymsigwa
Mkuu,
Simple.
Huna haja ya kulalamika.
File a lawsuit ukidai fidia ya damage caused.
Calculate how much you have lost by you delaying your destination. Hizo case zipo sana. Na huwa wanalipa