Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Kabla ya Mwaka 2015. Tanzania ilikuwa na mashirika ya ndege za ndani Makubwa manne.
1. Air Tanzania
2. Community air line
3. precision air.
4. Fast jet.
Community air line ilirudi kwa kishindo mwaka 2008. Ililet ushindani mkubwa katika soko la ndege. Mpaka sisi Manyonge ( makapuku) tukaweza kupanda ndege.
Nakumbuka kunakipindi Nauli ya Dar to Kilimanjaro ilifika 49,000Tsh. Huku nauli kutoka mwanza kwenda dar iliwa ni 69,000 pamoja na Tax. Na report zilionesha haya mashirika yalikuwa yakipata faida.
Kabla ya hapo, mashirika mengine yalikuwa yakicharge kati ya 200,000 hadi 350,000 mwanza to dar.
2011 kukawa na ujio wa shirika lingine jipya lijulikanalo kam FarstJet Tanzania. Hawa nao walikuja kwa kishindo kwa kushindana na Community air line.
Ushindani ukawa mkubwa mpaka mashirika mengine kama Air Tanzania na Precission air yakapunguza gharama za usafiri ili kucompete na Fastjet pamoja na community airline.
Haya mashirika yalifanyaa ATCL na precision air kupumulia mashine.
2016 Rais magufuli akaja na mkakati wa kufufua ATCL kwa kuanza kwa kuzinunulia Ndege. Baada ya hizi ndege kuja ATCL ikafufuka.
Mara pa tukasikia Fastjet na Community air line wamepotea kwa kasumba ambazo mpaka leo ni siri ya serikali na ayo mashirika.
Kibinafsi sisi wa hali ya chini Tuliokuwa tumezoea kupanda ndege za bei za fungulia dogi tunaumia sana awamu hii. Makampuni yaliyobaki sasa yamekuwa monopoly. Hakuna ushindani Tena. Ni kama bei zinapangwa na super monopoly ATCL.
Mfano, leo hii Ukitaka kufanya booking Mza to Dsm kwa kesho, cheapest flight ni USD 109 ambayo ni Air Tanzania. Huku Precission wakicharge USD 118. Na hii ni kwenda tu.
Hivi hizi ndege zilizonunuliwa Awamu hii ni kweli zimekuja kumsaidia Mtanzania myonge au ndyo zimekuja kumyonga zaidi?
Pia, hizi bei kubwa za Nauli za ndege ni mwiba katika secta ya utalii nchini.
Serikali itueleze Manufaa/ faida ya Manunuzi ya ndege mpya za ATCL kwa watanzania Wanyonge.
1. Air Tanzania
2. Community air line
3. precision air.
4. Fast jet.
Community air line ilirudi kwa kishindo mwaka 2008. Ililet ushindani mkubwa katika soko la ndege. Mpaka sisi Manyonge ( makapuku) tukaweza kupanda ndege.
Nakumbuka kunakipindi Nauli ya Dar to Kilimanjaro ilifika 49,000Tsh. Huku nauli kutoka mwanza kwenda dar iliwa ni 69,000 pamoja na Tax. Na report zilionesha haya mashirika yalikuwa yakipata faida.
Kabla ya hapo, mashirika mengine yalikuwa yakicharge kati ya 200,000 hadi 350,000 mwanza to dar.
2011 kukawa na ujio wa shirika lingine jipya lijulikanalo kam FarstJet Tanzania. Hawa nao walikuja kwa kishindo kwa kushindana na Community air line.
Ushindani ukawa mkubwa mpaka mashirika mengine kama Air Tanzania na Precission air yakapunguza gharama za usafiri ili kucompete na Fastjet pamoja na community airline.
Haya mashirika yalifanyaa ATCL na precision air kupumulia mashine.
2016 Rais magufuli akaja na mkakati wa kufufua ATCL kwa kuanza kwa kuzinunulia Ndege. Baada ya hizi ndege kuja ATCL ikafufuka.
Mara pa tukasikia Fastjet na Community air line wamepotea kwa kasumba ambazo mpaka leo ni siri ya serikali na ayo mashirika.
Kibinafsi sisi wa hali ya chini Tuliokuwa tumezoea kupanda ndege za bei za fungulia dogi tunaumia sana awamu hii. Makampuni yaliyobaki sasa yamekuwa monopoly. Hakuna ushindani Tena. Ni kama bei zinapangwa na super monopoly ATCL.
Mfano, leo hii Ukitaka kufanya booking Mza to Dsm kwa kesho, cheapest flight ni USD 109 ambayo ni Air Tanzania. Huku Precission wakicharge USD 118. Na hii ni kwenda tu.
Hivi hizi ndege zilizonunuliwa Awamu hii ni kweli zimekuja kumsaidia Mtanzania myonge au ndyo zimekuja kumyonga zaidi?
Pia, hizi bei kubwa za Nauli za ndege ni mwiba katika secta ya utalii nchini.
Serikali itueleze Manufaa/ faida ya Manunuzi ya ndege mpya za ATCL kwa watanzania Wanyonge.