Hivi paka Dar wana shida gani? Yaani paka anakimbizwa na panya?

Hivi paka Dar wana shida gani? Yaani paka anakimbizwa na panya?

Hii ni maajabu, yaani paka anapigwa na panya hadi ana kimbizwa 🤣, niko hapa kariakoo naona paka kapigwa na panya na kukimbizwa juu,hasa najiuliza panya akimkamata paka atamla au? siamini nachokiona.

Hii ni kwa paka wa Dar tu au hata wamikoani wameanza tabia hii ya kuchekesha?
Dar Kila kitu ni tabu, labda na wao wanakula chips yai rojo
 
Paka wa kule wengi ni mashehe
Kitten Supplies.jpeg
 
Hii ni maajabu, yaani paka anapigwa na panya hadi ana kimbizwa 🤣, niko hapa kariakoo naona paka kapigwa na panya na kukimbizwa juu,hasa najiuliza panya akimkamata paka atamla au? siamini nachokiona.

Hii ni kwa paka wa Dar tu au hata wamikoani wameanza tabia hii ya kuchekesha?
Kuna panya wana midomo mirefu kama samaki chuchunge hawa panya ni wakorofi paka hamsogelei yaani hata wewe ukimsogelea vibaya kwenye kumi na nane zake anakung'ata
 
Kuna panya wana midomo mirefu kama samaki chuchunge hawa panya ni wakorofi paka hamsogelei yaani hata wewe ukimsogelea vibaya kwenye kumi na nane zake anakung'ata
Mapanya ya kutoka china hayo.

Yamekuja na meli za kutokea China.

Hata kuona mchana wa jua kali hayaoni.

Paka wenyewe hawayali hayo mapanya
 
Mapanya ya kutoka china hayo.

Yamekuja na meli za kutokea China.

Hata kuona mchana wa jua kali hayaoni.

Paka wenyewe hawayali hayo mapanya
Ni makorofi hayo yana mlio hadi unaumiza masiikio
 
Kuna aina ya panya wana midomo mirefu hivi wana harufu mbaya sana ata wakipita sehemu

Hao panya ata paka anawakimbia wanauma sana (kung'ata)
 
Back
Top Bottom