Hii imeshindwa kueleweka kwa wengi.
Je, ina maana kuwa ile kodi aliyokuwa analipa mfanyakazi lets say ni shilingi laki moja (100,000) kwa sasa inapungua kwa kiasi cha asilimia 1 ina maana analipa shilingi elfu tisini (90,000)? - Kwa maana hiyo kwenye mshahara wake anaongezewa shilingi elfu kumi (10,000) hiyo iliyopunguzwa kwenye kodi?
Hebu wanaojua mahesabu ya kodi mtufundishe hapa ili tujue kama ni siasa tu au kuna uhalisia wa punguzo hilo?
Je, ina maana kuwa ile kodi aliyokuwa analipa mfanyakazi lets say ni shilingi laki moja (100,000) kwa sasa inapungua kwa kiasi cha asilimia 1 ina maana analipa shilingi elfu tisini (90,000)? - Kwa maana hiyo kwenye mshahara wake anaongezewa shilingi elfu kumi (10,000) hiyo iliyopunguzwa kwenye kodi?
Hebu wanaojua mahesabu ya kodi mtufundishe hapa ili tujue kama ni siasa tu au kuna uhalisia wa punguzo hilo?