Hivi nyie wanaume mkoje?

Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Nae kama kashindwa kuja kukutembelea basi muonane neutral venue na iwe open kabisa ndo myajenge

Saiv ngumu kuaminiana
 
Akili unazo lakini hazijakutosha bado, kwani mkionana unahisi ni sababu tosha ya yeye kutokukuchuna ngozi kama ni mchuna ngozi?
 
Hapo demu lazima awe chakula cha wana..
Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
 
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??

Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu
Hahaa dahh
 
Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
Hahaa aisee
 
Naandika nafuta,naandika nafuta.....acha tu niandike,"kwa hiyo kwa akil yako wanawake hawapaswi kuwafuata wanaume kwa mara ya kwanza?risk taker ndo hufanikiwa plus i'm nt sure kama huo ndo mtongozo wa kwanza.....obhebhe jaga goke agagopoje ombehi!!
Mbona umemaliza kikwenu sio powa
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Tusimulie basi ulivyoenda ilikuwaje
 
Inawezekana mwamba ana majukumu mengi ya Kaz ndio Mana kakwambia uende kwake ila staha muhimu

Hv ulivyo andika thread yako inaonekana ndivyo ulivyo ya ndani unayaweka nje na umri wako inaonekana Ni below 24
 
Ww mtoa mada huna akili, unasema huyo MTU hujawahi kumwona kwa macho, sasa utamwonaje kwa macho wakati hutaki kukutana nae?

Hayo maringo yako ndo yamefanya u-chat na wanaume wa mtandaoni ili uondoe upweke, kwasababu wanaume wa mtaani washakuchoka na maringo yako yasio na tija MysweetL
Mjibu vizuri mtu ukimtukana wala hatokuelewa mtapigana usipokuwa na akili wakati wa ushauri basi hata wewe unashida kuliko yeye.
 
Inawezekana mwamba ana majukumu mengi ya Kaz ndio Mana kakwambia uende kwake ila staha muhimu

Hv ulivyo andika thread yako inaonekana ndivyo ulivyo ya ndani unayaweka nje na umri wako inaonekana Ni below 24
Why best ,.
 
😂😂😂😂 eti anafeli!!

Huyo dada uliyemtaja unataka ugomvi nae?lakini mie popote utakaponiambia nije nakuja....sitaanzisha uzi na nauli juu yangu
Inaelekea unajua sana humu umeolewa hivi tuanzie hapo .
Kwa maana inaelekea unajua sana kila uzi unajua mwisho wake very nice.
Je una mume??
Je unawatoto napenda unijibu joana .
 
Why best ,.
Kuwa na hofu ya Mungu ishi Kama mwanamke wa Africa unaejua tamaduni na miiko ya mwanamke wa kiafrica kwa mwanaume ipi

Wanaume hatuangalii mwanamke ana uzuri gani,Elimu au pesa kias gani Bali tunachoangalia

1 ana hofu na Mungu
2 ana heshimu wazaz wake na ndugu zake
3 ana utunza ulimi wake katika mazingira yeyote Yale

Kwahyo hicho ulicho andika kina sadifu Yale yalio Moyoni mwako Muombe Sana Mungu inawezekana bahat yako ikawa hyo kwa mchiz alafu ukawa unaichezea Kuna siku utaikumbuka nafas ambayo mchz kakupa
 
Kuwa na hofu ya Mungu ishi Kama mwanamke wa Africa unaejua tamaduni na miiko ya mwanamke wa kiafrica kwa mwanaume ipi

Wanaume hatuangalii mwanamke ana uzuri gani,Elimu au pesa kias gani Bali tunachoangalia

1 ana hofu na Mungu
2 ana heshimu wazaz wake na ndugu zake
3 ana utunza ulimi wake katika mazingira yeyote Yale

Kwahyo hicho ulicho andika kina sadifu Yale yalio Moyoni mwako Muombe Sana Mungu inawezekana bahat yako ikawa hyo kwa mchiz alafu ukawa unaichezea Kuna siku utaikumbuka nafas ambayo mchz kakupa
Kwelii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom