Madima
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 351
- 299
Nae kama kashindwa kuja kukutembelea basi muonane neutral venue na iwe open kabisa ndo myajengeWeweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Saiv ngumu kuaminiana