Hivi nyie wanaume mkoje?

Hivi nyie wanaume mkoje?

Mbona kule Badoo,Tinder,Hi5 na Hitwe mnakuja?
 
Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
Kuna siku naenda pokea mzigo ubungo kutoka kwa bibi mkubwa hukoooo kanda maalum. Nakumbuka kuna kipindi basi zilikuwa zinaruhusiwa kutoboa na sio kulala njiani. Kwa hofu ya kwamba mzigo wangu niupate bado wamotooo na mimi nakesha ubungo. Maraaa paaa mrembo toka singida ya kinyaturu inanionba simu iongee na ndugu zake wamemetelekeza hapo ubungo. Aiseeee wanyaturu tangia hapo niliweza proove ni wepesi kinomaaaaaa. Yaan nilipokea mzigo wangu mida ya saa 8 usiku tukarudi mbezi na mtoto. For couple of days anapika na kupakua.
 
Kama ulikuwa makini Kama unavyodai hukuwa na sababu ya kuchat nae mpaka kufikia kutaka kukuona..
 
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??

Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu
Kali yake
 
Sema umetaka utumiwe nauli jamaa amechomoa mpaka ufike atakulipa.......hizo nyingine mbwembwe!
 
Humu unaweza anzisha uzi ukajikuta unarushiwa mi comment ya kuudhi mpaka ukahisi kama wanakuona vile,unaweza usitoke room ukadhani utakutana nao. Ha Ha Ha Ha
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
ni ukweli watu wasio ukubali ni kwamba mwanamke kamwe haqezi kumuelewa mwanaume na wala mwanaume hawezi kuelewa mwanamke tuishi hivi hivi kwa kushangaana usitafute solution yaani ishi kama unaigiza ili ucopy na mazingira
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Wengi hawataki kwenda lakini nauli wanaomba. Wanaomba kwa kila mwanaume. Mwisho source of income inakuwa kuomba nauli.
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Hapo mjanja ni mwanaume ndiyo maana hajaja kukuona wewe ila kakuona wewe ni boya ndiyo maana anatakaumfuate na wasichana wengi wa mtandaoni hufanya hivi na wanaume wengi mazoba ya mitandaoni wakikutana wasicha wajanja hutuma nauli ikaliwa na msichana haji.
Mbwa kala mbwa
 
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??

Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..😂😂
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu🙏🙏🙏🙏
Akijinyonga utajibia kwa Muumba
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Sawa. Akili zinasoma.Lakini ukue huwezi kumpata mume. Labda umpate ambaye akili hasisomi.
 
Aseeeeeeeeh huko PM kuna mengi lol, haya wahusika wamekusikia. Mweeeeeh
 
Sawa. Akili zinasoma.Lakini ukue huwezi kumpata mume. Labda umpate ambaye akili hasisomi.
Sintoenda ng'o kama kidume hajishughulishi kuja kama ni kidume kweli aje nimuone ndio niridhike .

Shuleni nakumbuka hivi kuna mdada aliambiwa amfuate mkaka moshi walahi alinishawishi tuende huko akanilipia nauli tukaenda mpaka moshi kufika sasa nilifurahi sana .
Kwani huyo kama alikuwa anamzingua mpaka basi mara niko stendi njooni juu ya hapa njooni chini mara njoo mwenyewe mara niko na mtu nisubirie.
Mpaka 11:30 ijioni ndio akatokea kanuna kisa eti yupo na mtu halafu isitoshe eti anadaiwa nauli .

Funzo tokea huyu besti afanyiwe mizinguaji mtu akiniita hata Arusha mjini siendi kama haeleweki.

Maisha sio kujirisk kisa mtu mwingine bali nikujilinda na watu usiowatambua .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom