Anakusaidia tu na wewe uone unaishi..😂
Siku akiona unafaa kuchunwa ngozi taarifa zako tutazipata TBC ni Jambo la muda tu 😜
Joke..😜
Kuna siku naenda pokea mzigo ubungo kutoka kwa bibi mkubwa hukoooo kanda maalum. Nakumbuka kuna kipindi basi zilikuwa zinaruhusiwa kutoboa na sio kulala njiani. Kwa hofu ya kwamba mzigo wangu niupate bado wamotooo na mimi nakesha ubungo. Maraaa paaa mrembo toka singida ya kinyaturu inanionba simu iongee na ndugu zake wamemetelekeza hapo ubungo. Aiseeee wanyaturu tangia hapo niliweza proove ni wepesi kinomaaaaaa. Yaan nilipokea mzigo wangu mida ya saa 8 usiku tukarudi mbezi na mtoto. For couple of days anapika na kupakua.Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
😂😂maskin ndio mnaopenda chura
Kali yakeAkuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??
Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu![]()
ni ukweli watu wasio ukubali ni kwamba mwanamke kamwe haqezi kumuelewa mwanaume na wala mwanaume hawezi kuelewa mwanamke tuishi hivi hivi kwa kushangaana usitafute solution yaani ishi kama unaigiza ili ucopy na mazingiraWeweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Wengi hawataki kwenda lakini nauli wanaomba. Wanaomba kwa kila mwanaume. Mwisho source of income inakuwa kuomba nauli.Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Yes inatakiwa akueleze wewe kama wewe.Hata kama ni thread ya kukuonesha mapendo yaliyojaa mtimani mwake.!!?

yule mmoja kati ya billioni kumbe ndo huyu? Atleast umewaza kiume hali ya kuwa wewe ni wa kike.Nauli unamwambia Konda ndakupa nikifikaTukikutana hivi kwenye mtandao
Muwe mna tutumia nauli tunakuja..
Hapo mjanja ni mwanaume ndiyo maana hajaja kukuona wewe ila kakuona wewe ni boya ndiyo maana anatakaumfuate na wasichana wengi wa mtandaoni hufanya hivi na wanaume wengi mazoba ya mitandaoni wakikutana wasicha wajanja hutuma nauli ikaliwa na msichana haji.Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Akijinyonga utajibia kwa MuumbaAkuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??
Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..😂😂
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu🙏🙏🙏🙏
Sawa. Akili zinasoma.Lakini ukue huwezi kumpata mume. Labda umpate ambaye akili hasisomi.Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Sintoenda ng'o kama kidume hajishughulishi kuja kama ni kidume kweli aje nimuone ndio niridhike .Sawa. Akili zinasoma.Lakini ukue huwezi kumpata mume. Labda umpate ambaye akili hasisomi.