- Thread starter
- #121
Sijamuomba mtu nauli ili msizani hatuna watu wakutushushia haja bali tunataka mtu sahihii.Wengi hawataki kwenda lakini nauli wanaomba. Wanaomba kwa kila mwanaume. Mwisho source of income inakuwa kuomba nauli.
Umuite mume ndio maana tunahangaika kila mahali ma sio kujirahisisha.