Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hahahahahah hebu weka tuone
Hahaha, ningeiona hii thread kabla hujacoment ningemwambia achukue uzoefu kwa dada cutelove. Mamaa wa 7,800.
Anafeli sana huyu.
Hahahahahah hebu weka tuone
Hahaha, ningeiona hii thread kabla hujacoment ningemwambia achukue uzoefu kwa dada cutelove. Mamaa wa 7,800.
Anafeli sana huyu.
😂😂😂😂 eti anafeli!!
Huyo dada uliyemtaja unataka ugomvi nae?lakini mie popote utakaponiambia nije nakuja....sitaanzisha uzi na nauli juu yangu
Ni washambaa sana hao akili hazimoKwani na wasichana huwa wanatuma nauli siku hizi???
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??
Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu![]()
Aha kumbe unaleta uchokozi halafu unaomba msamahaAkuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??
Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..😂😂
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu🙏🙏🙏🙏
Hata kama ni thread ya kukuonesha mapendo yaliyojaa mtimani mwake.!!?
Ushauri sio lazima mtu awe yeye kuna wengine tu wanaomba ushauri unashindwa kumpa ushauri unaomba ushauri.Hutaki mume sister?
Siyo mgomvi huyo dada, nadhani sasa hivi yuko kwenye kamati za kampeni za uchaguzi.
Kwenye swala la kuja, naomba tulijadili nje ya hapa.
Nisamehe bure mrembo wa watu..😜😉Aha kumbe unaleta uchokozi halafu unaomba msamaha
Mapovu ya wanaume huko juu yatatosha kufulia nguo week hii
Ungekataa kimya kimya tu kama huna ratiba ya kumfuata alipo
SitakiNisamehe bure mrembo wa watu..😜😉
Vipi lkn weye mzima..??
Just a joke tu mrembo usimind kivile..😜Sitaki
Niite basi,naahidi sitakuanzishia uzi
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Hata hii inaweza ikakuongezea maadui/wapinzani....Hata kama ni thread ya kukuonesha mapendo yaliyojaa mtimani mwake.!!?