Hivi nyie wanaume mkoje?

Hivi nyie wanaume mkoje?

Hahaha, ningeiona hii thread kabla hujacoment ningemwambia achukue uzoefu kwa dada cutelove. Mamaa wa 7,800.

Anafeli sana huyu.


😂😂😂😂 eti anafeli!!

Huyo dada uliyemtaja unataka ugomvi nae?lakini mie popote utakaponiambia nije nakuja....sitaanzisha uzi na nauli juu yangu
 
😂😂😂😂 eti anafeli!!

Huyo dada uliyemtaja unataka ugomvi nae?lakini mie popote utakaponiambia nije nakuja....sitaanzisha uzi na nauli juu yangu

Siyo mgomvi huyo dada, nadhani sasa hivi yuko kwenye kamati za kampeni za uchaguzi.

Kwenye swala la kuja, naomba tulijadili nje ya hapa.
 
Halafu akifikisha miaka 30 hajaolewa, utaskia anatafuta mganga apige ramli kidgo
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??

Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu
 
Akuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??

Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..😂😂
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu🙏🙏🙏🙏
Aha kumbe unaleta uchokozi halafu unaomba msamaha
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox

Ww mtoa mada huna akili, unasema huyo MTU hujawahi kumwona kwa macho, sasa utamwonaje kwa macho wakati hutaki kukutana nae?

Hayo maringo yako ndo yamefanya u-chat na wanaume wa mtandaoni ili uondoe upweke, kwasababu wanaume wa mtaani washakuchoka na maringo yako yasio na tija MysweetL
 
Naandika nafuta,naandika nafuta.....acha tu niandike,"kwa hiyo kwa akil yako wanawake hawapaswi kuwafuata wanaume kwa mara ya kwanza?risk taker ndo hufanikiwa plus i'm nt sure kama huo ndo mtongozo wa kwanza.....obhebhe jaga goke agagopoje ombehi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom