Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox



Aa wapi sina uhusiano nae huyu..😂Kaka mkubwa KENZY dongo hili unapigwa wewe kaka yangu?

Kwa kuwa umeshtuka basi huyo ni mtu mwema nenda tu. Angekuwa muovu ungejipeleka tu tu mwenyewe kama mbwa mbele ya chatuWeweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Mapovu ya wanaume huko juu yatatosha kufulia nguo week hii
Ungekataa kimya kimya tu kama huna ratiba ya kumfuata alipo
Mapovu ya wanaume huko juu yatatosha kufulia nguo week hii
Ungekataa kimya kimya tu kama huna ratiba ya kumfuata alipo
Bado sijaweka ya kwangu, nadhani walioniwakilisha wanatosha.
🤣🤣🤣Tatizo hakutuma nauli. I bet angetuma nauli, asingetokwa povu hili!