Hivi nyie wanaume mkoje?

Hivi nyie wanaume mkoje?

Inaelekea unajua sana humu umeolewa hivi tuanzie hapo .
Kwa maana inaelekea unajua sana kila uzi unajua mwisho wake very nice.
Je una mume??
Je unawatoto napenda unijibu joana .


Easy MysweetL ......

Sijajua unaniwakia sababu ipi,kila uzi najua mwisho wake kwa lipi?hiyo comment yangu inaonesha kujua mwisho wa kitu gani?

Wewe suala la kumfata aliyekwambia umfuate linahusiana vipi na mimi kuwa na mume ama watoto?stress zako mpelekee aliyekuletea tafadhali
 
Easy MysweetL ......

Sijajua unaniwakia sababu ipi,kila uzi najua mwisho wake kwa lipi?hiyo comment yangu inaonesha kujua mwisho wa kitu gani?

Wewe suala la kumfata aliyekwambia umfuate linahusiana vipi na mimi kuwa na mume ama watoto?stress zako mpelekee aliyekuletea tafadhali
Acha unafiki wewe uende mbinguni .
 
Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.

Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...

Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??

Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.

Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Ushaomba nauli umetumiwa sasa kwenda imekua tabu had unafungua uzi
 
Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.

Mbona mi unanipenda tu na ni flat screen jamanii
 
Aisee, hakuna jiwe ambalo alitainuliwe!
Mvulana anapokutana na msichana haya ndo matomeo yake.
Sawa tumejuwa kuwa unafuatwa pm, ila siku nyingine mmalizane hukohuko pm.
 
Mbona mi unanipenda tu na ni flat screen jamanii
Anakusaidia tu na wewe uone unaishi..😂
Siku akiona unafaa kuchunwa ngozi taarifa zako tutazipata TBC ni Jambo la muda tu 😜

Joke..😜
 
Haya bhana no comment kama mmenisema hivyo.
 
Kwani akikufuata ndio atashindwa kukuchuna hiyo ngozi?
Unadai haujawahi kumuona, sasa utamuonaje ikiwa hautaki kuonana nae?
Nimewasha Hotspot, hebu connect WiFi uko ulipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom