Hivi ninyi kinabibi afya na bwana afya hii ni kawaida?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
264
270
Pengine ni hali ya maisha inapelekea hivi mtu anajifunguwa hajamaliza mwezi anakuja kuuza chakula mgahawani na anamuogesha nje hapo bila aibu.

Nauliza ninyi watu wa afya hamuoni ongezeko la hii hali au ni kawaida mtueleweshe mtu kama mimi. Huyu mtu kwanini msimwambiye alee kwanza mtoto wakati anasaidiwa na mtu kwa maslahi mapana ya afya zetu?
 
Pengine ni hali ya maisha inapelekea hivi mtu anajifunguwa hajamaliza mwezi anakuja kuuza chakula mgahawani na anamuogesha nje hapo bila aibu.Nauliza ninyi watu wa afya hamuoni ongezeko la hii hali au ni kawaida mtueleweshe mtu kama mimi.Huyu mtu kwanini msimwambiye alee kwanza mtoto wakati anasaidiwa na mtu kwa maslahi mapana ya afya zetu?
Basi tu unafikiri kapenda kuhangaika hata hajapona vzuri....

Ugumu tu wa Maisha
 
Pengine ni hali ya maisha inapelekea hivi mtu anajifunguwa hajamaliza mwezi anakuja kuuza chakula mgahawani na anamuogesha nje hapo bila aibu.Nauliza ninyi watu wa afya hamuoni ongezeko la hii hali au ni kawaida mtueleweshe mtu kama mimi.Huyu mtu kwanini msimwambiye alee kwanza mtoto wakati anasaidiwa na mtu kwa maslahi mapana ya afya zetu?
Katika kada za hovyo baada ya NEMC na zimamoto ni hao watu,
 
Ukijua miondoko(ugumu,vurugu na pandashuka) ya maisha nadhani kuna maswali utayazuia kooni yasikutoke na watu wakakusikia.
 
Back
Top Bottom