Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
nilikuwa sijacheka siku nzima ila kwa hili nimejikuta nachceka mwenyewe lol!
Shkaaaaamoooooo mwaaaaaalim!
nilikuwa sijacheka siku nzima ila kwa hili nimejikuta nachceka mwenyewe lol!
Mi nakuangalia tu. Aliyesema nastaafu ni nani? Acha kuninukuu vibaya, nilisema naacha kukagua mabinti wasio na viwango, sasa huyu kwakuwa ana viwango mwambie a come this way eti...... Filipo nilimpa mamlaka aifanye hii kazi pale ntakapokuwa sipo. Hii itanisaidia kupunguza foleni ya wanaohitaji kukaguliwa.:mwaaah:
uje nikukague mimi mwaya, hao wengine mikono imekakamaa utafikiri msasa wa kulainisha fenicha, njoo uku upate ukaguzi wa kisasa toka kwa mzee wa zamani....na kweli maana wengine tumekaa kwenye foleni hata hatufiki kwenye kukaguliwa sipati picha huo ukaguzi sijui ndo unajukuisha na ile wodi eti babu
uje nikukague mimi mwaya, hao wengine mikono imekakamaa utafikiri msasa wa kulainisha fenicha, njoo uku upate ukaguzi wa kisasa toka kwa mzee wa zamani....
walahi Rich woman ukimuaga huyo babu hatakuruhusu, ana aleji na wanawake wenye makalio makubwa kama wewe, bora utoroke tu uje nikukague uondokane na foleni hapo...japo babu Asprin anasema hajaacha hiyo kazi sasa sijui ananikubalia unikague au ndo tunavunja masharti tu
Mbona sijakuona kwenye foleni?na kweli maana wengine tumekaa kwenye foleni hata hatufiki kwenye kukaguliwa sipati picha huo ukaguzi sijui ndo unajukuisha na ile wodi eti babu
Hizo red zinahusiana vipi?Jamani nimeingia jf hivi karibuni tu lakini kuna kitu kimenikera. Hivi kwa nini hawa wanaume wa kihaya wana majivuno namna hiyo. Mara utamsikia sipendi mwanamke anayeishi uswahilini mara hujui kuongea kiingereza. Hivi kwani mie nimetafuta kiingereza au husband material wanabore sana sitaki hata kuwaona.
Mbona sijakuona kwenye foleni?
walahi Rich woman ukimuaga huyo babu hatakuruhusu, ana aleji na wanawake wenye makalio makubwa kama wewe, bora utoroke tu uje nikukague uondokane na foleni hapo...
mkuu Erickb52 ni kweli mumempita huyu mdada/mmama? aisee kweli wenye pesa wanaogopwa,njoo basi nitoroshe maana mm hapa hata sio mwenyeji na kweli babu hata hanioni maana kama Erickb52 anapita hapa ila anadai hanioni kwenye foleni babu Asprin na uzee ule si haoni kitu
mkuu Erickb52 ni kweli mumempita huyu mdada/mmama? aisee kweli wenye pesa wanaogopwa,
unajua Rich woman hao jamaa hawana makomfo.. wanakuogopa jinsi ulivyo mzuri na una pesa hawajui waanzie wapi, ngoja nijiandae kuja kukukagua....
huhuuhuuu!Alah kumbe ni uwoga hamna shida kadr siku zinavyokwenda atazoea tu.....mi nipo tayari nakusubiri ww tu...
Alah kumbe ni uwoga hamna shida kadr siku zinavyokwenda atazoea tu.....mi nipo tayari nakusubiri ww tu...
Rich woman karibu white party!
mkuu Erickb52 ni kweli mumempita huyu mdada/mmama? aisee kweli wenye pesa wanaogopwa,
unajua Rich woman hao jamaa hawana makomfo.. wanakuogopa jinsi ulivyo mzuri na una pesa hawajui waanzie wapi, ngoja nijiandae kuja kukukagua....
Ngoja nakuja...
Hivi zumbemkuu ana kiwango cha ukaguzi?
Heheheee hii tenda naitamani ila wife karudi na alinifuna jukwaa moja ninaiba lol nasubiri msala akija rasmimi nakusubiri Erickb52 mwenyeji wangu....
Usinambie zumbemkuu hana viwango au unainyemele wewe hii tenda?
Safi sana kijana. Unafanya kazi yako vizuri:glasses-nerdy::glasses-nerdy:Hahahaaa zumbemkuu alikaguliwa Natalia hata Rich woman atakaguliwa tu kwa kuwa umeonyesha interest endelea mi ntamtaarifu Asprin