CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Mayahudi wamevamia ardhi ya wapalestina na mpaka leo wanawanyanyasa waarabu na kuwatesa. Kihistoria mayahudi ndio wakazi wa asili wa ardhi hii ya Palestina. Kifupi naweza kusema mayahudi wamerudi nyumbani kwao baada ya kukaa ugenini kwa miaka mingi. Yaani namaanisha leo hii Wangoni waamue kurudi South Africa ambako ndio asili yao,Wazigua warudi Somalia ambako kihistoria ndio asili yao, washihiri warudi kwao Yemen, makuburu nao warudi kwao, n.k
Je, watu kama hao niliowataja wakitaka kurudi nyumbani kwao watapokelewa na je wanahaki ya kuwapokonyonya ardhi wale watakao wakuta kwa hoja kwamba sisi ndio mababu zetu waliishi hapa?
Simply mwenzangu na mimi nikukute hapo unapoishi na familia yako imeshakaa miaka zaidi ya mia tatu, je hapo utaondoka na hata nikiwa sina document zozote zinazoonyesha kuwa mimi ndio ninaemiliki?
AKHSANTENI.
Je, watu kama hao niliowataja wakitaka kurudi nyumbani kwao watapokelewa na je wanahaki ya kuwapokonyonya ardhi wale watakao wakuta kwa hoja kwamba sisi ndio mababu zetu waliishi hapa?
Simply mwenzangu na mimi nikukute hapo unapoishi na familia yako imeshakaa miaka zaidi ya mia tatu, je hapo utaondoka na hata nikiwa sina document zozote zinazoonyesha kuwa mimi ndio ninaemiliki?
AKHSANTENI.