Hivi ni sawa kwa mayahudi kukaa ktk ardhi wa palestina?

Status
Not open for further replies.
Wana wa Israel walipofika katika nchi ya Kaanani Mungu aliigawa kwa mataifa 12 ramani ambayo walipewa na Bwana mwenyewe kupitia kwa Mtumishi wa BWANA Joshua Jemedari

(Josh 14:1 [NET])
The following is a record of the territory assigned to the Israelites in the land of Canaan by Eleazar the priest, Joshua son of Nun, and the Israelite tribal leaders.

(Josh 14:2 [NET])
The land assignments to the nine-and-a-half tribes were made by drawing lots, as the LORD had instructed Moses.

(Josh 14:3 [NET])
Now Moses had assigned land to the two-and-a-half tribes east of the Jordan, but he assigned no land to the Levites.
 
Wana wa Israel walipofika katika nchi ya Kaanani Mungu aliigawa kwa mataifa 12 ramani ambayo walipewa na Bwana mwenyewe kupitia kwa Mtumishi wa BWANA Joshua Jemedari

(Josh 14:1 [NET])
The following is a record of the territory assigned to the Israelites in the land of Canaan by Eleazar the priest, Joshua son of Nun, and the Israelite tribal leaders.

(Josh 14:2 [NET])
The land assignments to the nine-and-a-half tribes were made by drawing lots, as the LORD had instructed Moses.

(Josh 14:3 [NET])
Now Moses had assigned land to the two-and-a-half tribes east of the Jordan, but he assigned no land to the Levites.

Sasa hayo mataifa 12 ni yapi
 
Abraham alipokuwa pale alipata watoto wawili kulingana na biblia ingawa mtoto wa mjakazi na mjakazi walifukuzwa (yaani Ishmael na mama yake Hagar) ndo nchi ya Huko uarabuni (Saud Arabia) ambapo kuanzia hapo biblia inaanza kuelezea uzao wa Ibrahimu kupitia kwa mtoto aliebaki yaani Isaka ambaye akamzaa Yakobo na Esau ambapo Esau nae alihama akaenda katika nchi ya Seiri nchi ambayo walipewa na BWANA iwe urithi wao. kwa hiyo uzao uliokua umebaki katika kaanani ni uzao wa Yakobo
Wakristo acheni kutunga uongo nani aliye mfukuza Hajar? Hajar kwa Mungu anaheshimiwa kuliko Sara sababu ni mwanamke peke yake aliye ongea na malaika wa Mungu kabla ya hata mama yake Yesu kuongea na malaika wa Mungu.

Na nani anaye wadanganya alifukuzwa wakati Ishaq kazaliwa, Hajar na Prophet Ismael waliondoka pale wakati bado sana Prophet Ishaq kuzaliwa, Bibilia zenu zimebaki kutunga uwongo tu.

Hajar alipoenda Saud Arabia ni amri ya Mungu, sababu Mungu alikuwa ana sababu zake kuonyesha uislam ndio dini ya kweli.

Hajar alipo ondoka alikuwa na mwanae Prophet Ismael, na wakati Ismael akilia malaika wa Mungu walikuwa wanakuja kumbembeleza kama hamjui.

Mtoto wa huyo mnasema mjakazi ndio alipewa jina na Mungu, kabla ya mwingine ambaye anaitwa Yakoub (Jacoub) au kama alivyo itwa na Mungu Isra'il.

Kwa hio mnapo ongelea Prophet Ismael lazima muweke heshima sana, ni Prophet peke aliye letwa duniani kapewa jina na Mungu na mama yake kaongea na malaika wa Mungu direct.

Kama yuko Prophet wa namna hio basi atakuwa ana kimoja tu sio vyote viwili, ambao ni mama wa Yesu ndio aliongea na malaika wa Mungu, na Prophet Yakoub ambaye anajulikana kama Isra'il, ndio aliye kuwa Prophet wa pili kuitwa jina na Mungu bada ya Prophet Ismael.

Kumbukeni siku zote Mungu angekuwa ana akili kama zenu wakristo, basi asinge msogelea Prophet Ismael kwa njia mbili, ya kumpa jina na kumtukuza mama yake kwa kuongea na malaika wake.

Mtabaki tu na ujinga wenu wakristo mpaka siku za kiyama, ndio matajua uwongo mlio mtungia Prophet Ismael, kama kazaliwa nje ya ndoa au alizaliwa kwenye ndioa ya halali. Si mnaona hata Bibilia zenu zinavyo kanyagana, mara zina sema Hajar ni mke halali wa Prophet Ibrahim ,mara zinasema Prophet Ibrahim ali sex nje ya ndoa hahaha.

Kweli wakristo hamnazo, mpaa kipenzi cha Mungu Prophet Ibrahim mkasema alizini nje ya ndoa, hapo kweli manenda peponi wote na waislam tunaenda motoni hahaha.
 
ISRAEL WANASAMBARATIKA KWA MARA YA KWANZA

Israel walikuwa makabila 12 na walipofika pale wakaanza kuiga desturi za watu walio wazaunguka mabao walikuwa na wafalme. basi nao wakataka kutawaliwa kwa mfumo huo. BWANA akawaruhusu ingawa kwa kuwakasirikia. wakatawaliwa na Saul ambaye alikuwa mbenjamini. alipotawala alikuwa hana hofu ya Mungu yaani alikuwa anawaogopa wanadamu kuliko Mungu BWANA akamkataa na ndo ukawa mwanzo wa Daudi kutoka kabila la Yudah. kumbuka ufalme ulikua unaenda kwa kufata Order (uzao- baba, mwana, mjukuuu....)
Daudi alipofariki yale mwataifa 11 yakatunga hila kwamba hili kabila ambalo mfalme ndo anatokea anawakandamiza kwa hiyo wakaamu kutokutawaliwa na mfalme wa Yuda. walipojitenga ndo ikatokea Israel ya Uyahudi ambayo makao yake makuu ilikua Jerusalem (Mji wa Daudi) ambao Daudi aliutwaa katika vita na kunnuua kiwanja cha Haruna Myebusi na kujenga madhabahu hapo (Ndipo lilipojengwa Hekalu)
yale mataifa 11 ya ambayo makao yake yalikuwa samaria walimwasi BWANA sana kwa kufuata desturi za mataifa yaliyowazunguka kwa hiyo wakawa victim wa kufukuzwa katika nchi kwa kutwaliwa utumwani.
Taifa lilikuwa limebaki ni Yuda ambao nao walianza kunyanyasana wao kwa wao, BWANA kwa kupitia kwa mtumishi wake Yeremia Nabii aliwaambia atawafukuza pia waende utumwani wasipobadilika (this time Babylon). kumbuka hili taifa la Yuda peke yake ndo BWANA alikuwawa amebaki nalo kwa maana ya kulinda ahadi yake na Ibrahim.

(Jer 26:2 [NET])
The LORD said, "Go stand in the courtyard of the LORD's temple. Speak out to all the people who are coming from the towns of Judah to worship in the LORD's temple. Tell them everything I command you to tell them. Do not leave out a single word!

(Jer 26:3 [NET])
Maybe they will pay attention and each of them will stop living the evil way they do. If they do that, then I will forgo destroying them as I had intended to do because of the wicked things they have been doing.

(Jer 26:4 [NET])
Tell them that the LORD says, ‘You must obey me! You must live according to the way I have instructed you in my laws.

(Jer 26:5 [NET])
You must pay attention to the exhortations of my servants the prophets. I have sent them to you over and over again. But you have not paid any attention to them.

(Jer 26:6 [NET])
If you do not obey me, then I will do to this temple what I did to Shiloh. And I will make this city an example to be used in curses by people from all the nations on the earth.'"

 
Balacuda, Biblia haikulenga kuandika historia ya Wayahudi, bali kueleza matendo makuu ya Mungu waliyemwamini. Kwa hiyo tukiitumia Biblia kama kitabu pekee cha historia ya Wayahudi, lzm tukwame mahali.

Ni vema tutumie na vitabu vingine pia.

Samahani Mkuu,
Una uhakika kua bible haiwezi saidia kitu?
 
Yudah in Babylon.

vuta nikuvuta kati ya BWANA na nyumba ya Yudah iliishia kwa kabila la Yudah kuchukuliwa utumwani Babel lakini kwa ahadi ya kurudishwa wapi? katika nchi ya Yudah (Kanaani) nadhani hii ilitokea miaka ya 700BC na waliambiwa watakaa Babylon kwa muda wa majuma 70 ( ambalo pia ni fumbo). kumbuka hekalu waliliacha nyuma yao lilibomolewa. Ahadi ya BWANA ya kuwarudisha kutoka Babeli ilitimia na wakarudi katika nchi ya Kanaani miaka ya 530BC
 
Wakristo acheni kutunga uongo nani aliye mfukuza Hajar? Hajar kwa Mungu anaheshimiwa kuliko Sara sababu ni mwanamke peke yake aliye ongea na malaika wa Mungu kabla ya hata mama yake Yesu kuongea na malaika wa Mungu.

Na nani anaye wadanganya alifukuzwa wakati Ishaq kazaliwa, Hajar na Prophet Ismael waliondoka pale wakati bado sana Prophet Ishaq kuzaliwa, Bibilia zenu zimebaki kutunga uwongo tu.

Hajar alipoenda Saud Arabia ni amri ya Mungu, sababu Mungu alikuwa ana sababu zake kuonyesha uislam ndio dini ya kweli.

Hajar alipo ondoka alikuwa na mwanae Prophet Ismael, na wakati Ismael akilia malaika wa Mungu walikuwa wanakuja kumbembeleza kama hamjui.

Mtoto wa huyo mnasema mjakazi ndio alipewa jina na Mungu, kabla ya mwingine ambaye anaitwa Yakoub (Jacoub) au kama alivyo itwa na Mungu Isra'il.

Kwa hio mnapo ongelea Prophet Ismael lazima muweke heshima sana, ni Prophet peke aliye letwa duniani kapewa jina na Mungu na mama yake kaongea na malaika wa Mungu direct.

Kama yuko Prophet wa namna hio basi atakuwa ana kimoja tu sio vyote viwili, ambao ni mama wa Yesu ndio aliongea na malaika wa Mungu, na Prophet Yakoub ambaye anajulikana kama Isra'il, ndio aliye kuwa Prophet wa pili kuitwa jina na Mungu bada ya Prophet Ismael.

Kumbukeni siku zote Mungu angekuwa ana akili kama zenu wakristo, basi asinge msogelea Prophet Ismael kwa njia mbili, ya kumpa jina na kumtukuza mama yake kwa kuongea na malaika wake.

Mtabaki tu na ujinga wenu wakristo mpaka siku za kiyama, ndio matajua uwongo mlio mtungia Prophet Ismael, kama kazaliwa nje ya ndoa au alizaliwa kwenye ndioa ya halali. Si mnaona hata Bibilia zenu zinavyo kanyagana, mara zina sema Hajar ni mke halali wa Prophet Ibrahim ,mara zinasema Prophet Ibrahim ali sex nje ya ndoa hahaha.

Kweli wakristo hamnazo, mpaa kipenzi cha Mungu Prophet Ibrahim mkasema alizini nje ya ndoa, hapo kweli manenda peponi wote na waislam tunaenda motoni hahaha.

Mkuu Adisamigo Taratibu Mkuu!
Punguza kutoa maneno makali! Hii mada ni nzuri kujadili Lakini kwa mfumo huu Wa kutoa maneno itapelekea hii Mada kufungwa!
Tujadili Taratibu na kufahamishana kwa Taratibu Lakini kuanza kutoa maneno tu kwa wenzio haikai vizuri!
 
Mkuu Chamviga umeleta Mada nzuri sana!
Balacuda unaleta historia nzuri na pia Adisamigo ingekua vema ukaleta historia kutoka kwenye kitabu chenu!
Maana history ya mashariki ya Kati huwezi ipata nje ya Vitabu hivyo!
 
Mvutano kati ya Wayahudi na Yesu

Baada ya kuwa wamerudi katika nchi yao vuta ni kuvute ilianza pale Yesu Kristo alipokuja wao waliona kama amekuja kuwanyang'anya ulaji hasa kodi na mamlaka. Kwa hiyo wakamuona ni threat wakamshitaki kwa Pilato muwakilishi wa mamlaka kwa Emperor katika nchi ya Yudah/Samaria ambaye alibanwa kwamba asipomuadhibu wao watamshitaki kwa Emperor kwamba kuna mtu hapa anatangaza mapinduzi halafu huyu jamaa uliyemuweka hachukui hatua. Basi Pilato hakuwa na ujanja akaamua kumsulubisha, Ingawa pia ilimkosti kwani baada ya kumsulubisha walienda tena kwa emperor na kumwambia kuna mtu mzuri alikua kwenye hii nchi anaponya wagonjwa lakini huyu Governor ammemuua.

Utabiri wa wayahudi kutimuliwa tena ulitoka kwa Yesu mwenyewe ingawa manabii pia walishasema hasa Nabii Daniel kwamba hata hilo Hekalu la pili lingevunjwa wangechukuliwa utumwani kitu kilichofanyika mwiaka ya 70AD na hekalu kuchomwa moto

Kuanzia hapa kwa kweli ni unabii tu ambao haujatenguliwa na inaonekana baada ya Yesu kuja mambo yote yamebadilika na tunafanya mambo kwa kutumia hekima za wanadamu kwa sababu muongozo wa moja kwa moja haupo
 
Pamoja na kwamba katika historia huwa kuna upotoshaji kwa namna moja au nyingine lakini mjadala wetu utaenda vizuri tutakapotumia rejea mbalimbali za vitabu vituku vya Mungu yaani Taurat, Injili,Zaburi na Quran.
Mimi nitaandika hisoria fupi ya wana wa israel,mayahudi na wazayuni kwa mujibu wa Quran ilivyoelezea.

Makao ya awali yalianzishwa Palestina katika miaka ya 14000 hadi 8000 KI (Kabla ya kuzaliwa kwa ‘Nabii ‘Iysa) kwa utawala wa Tatwafi. Na katika mwaka 8000 KI, mji wa Ariha (Jericho) ulianzishwa huko Palestina. Mji huo ulijengwa na wenyeji ukajengeka kwa njia ya mipango kama ilivyo miji ya kisasa.



Makabila ya mwanzo kuja kuweka makazi yao katika nchi ya Palestina ni yale makabila ya Wayebusi, Waamori, Wahiti, Wakanaani, Waamalika na Wafiniki. Makabila haya yalikaa katika maeneo tofauti ya nchi hiyo: Wakanaani waliweka makazi yao katika eneo la Gaza ilhali Wayebusi walibuni mji wa Yebus, ambao kwa sasa unajulikana kama mji wa al-Quds. Makabila haya yalihamia huko kutoka kusini mwa Bara Arabu takriban mwaka 3000 KI.



Katika mwaka wa 1900 KI, Nabii Ibraahim (‘Alayhis Salaam) alihamia kutoka Iraq na kuja kuweka makazi yake katika mji wa Khalil. Hapo ndipo alipomzaa Nabii Ismaa‘iyl na Ishaaq (‘Alayhimas Salaam) na baadaye kuzaliwa Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam).



Katika kipindi 1800 – 1600 KI, Palestina ilitawaliwa na Waheksosi. Ni katika kipindi hiki katika mwaka wa 1750 KI ndio Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam) alizaliwa.



Katika karne ya 16 KI (yaani mwaka wa 1580 KI), Bani Israili waliokuwa Misri walitiwa utumwani na Firauni wa wakati huo kuvamia na kuitawala Palestina kwa muda kabla ya sehemu hiyo kuingia katika utawala wa Kiislamu.



Mwaka 1250 KI, Nabii Musa (‘Alayhis Salaam) aliagiziwa na Allaah Aliyetukuka atoke Misri ambako wana wa Israili walikuwa ni watumwa waende wakaishi katika ardhi tukufu. Kwa ajili ya ukaidi wao (Qur-aan 5: 21 – 26), walipigwa marufuku kuingia katika ardhi hiyo. Mbali na hilo walipigwa adhabu kali ya kutangatanga katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini (40). Katika kipindi hicho, wale wote waliokuwa wamebaleghe walikufa katika jangwa kikabakia kizazi ambacho kililelekea katika maadili ya Kiislamu, Imani na uchaji Mungu kuingia katika ardhi hiyo tukufu. Kizazi hicho kilipata darsa ya ukakamavu, utii, kujitolea mhanga na malezi bora, hivyo kwa tawfiki ya Allaah Aliyetukuka kuweza kuingia ardhi hiyo mwaka 1190 KI wakiongozwa na Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam). Wakati huo tayari Nabii Muusa (‘Alayhis Salaam) alikuwa ameaga dunia hivyo kutoweza kuingia katika ardhi hiyo.



Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam) ndiye mwana Israili wa kwanza aliyeanzisha dola katika maeneo ya Palestina. Hata hivyo, wana wa Israili chini ya uongozi wa Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam) hawakuweza kuliteka eneo lote la Palestina katika mipaka yake ya sasa na hata mji wa al-Quds haukuingia mikononi mwake. Ifahamike kuwa dola hiyo haikuwa katika misingi ya Kiyahudi kwani dini ya Kiyahudi ilikuwa haijabuniwa kamwe wakati huo bali ilikuwa ikipekeshwa katika misingi ya Kiislamu.



Dola hii haikukaa kwa muda kwani vurugu liliingia kati baada ya kuaga dunia Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam), hivyo kushikiliwa na Ma-Qaadhi kabla ya kusambaratika kabisa kabisa. Kufikiwa na hayo, Bani Israili waliingia katika utawala wa Wapalestina ambayo asili yao ni Wakanaani. Kudhalilishwa kwao huko kuliwafanya watake msaada kutoka kwa Allaah Aliyetukuka ili warudi katika enzi zao (Qur-aan, 2: 246). Allaah Aliyetukuka Aliwateulia Twaaluut kuwa mfalme wao wa kuwaongoza wao kwenda kupambana na Wapalestina wakiongozwa na Jaaluut (Qur-aan, 2: 247). Bani Israili waligomba sana kuhusu uchaguzi huo, hata hivyo wapo waliokuwa na Imani ambao walisalimu amri na kujizatiti kwenda kupambana na Wapalestina. Wakati huo, Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) alikuwa kijana mdogo aliyejiunga na jeshi hilo ambalo kwa tawfiki ya Allaah Aliyetukuka liliweza kulishinda jeshi la Jaaluut (Qur-aan, 2: 248 – 251). Ushindi huo ulipatikana mwaka wa 1025 KI. Twaaluut aliweza kuanzisha tena dola ya Kiislamu Palestina ikiwa inaongozwa na Bani Israili mpaka kufa kwake mnamo 1004 KI.



Baada ya kuaga dunia tu, hatamu za uongozi zilishikwa na Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) ambaye aliipanua dola hiyo kwa kasi kubwa sana. Ni wakati wake ndio mji wa al-Quds uliweza kutekwa. Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) aliaga dunia mwaka wa 960 KI na kumuacha mtoto wake, Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) katika utawala. Kwa upande wake naye, Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) aliipanua dola hiyo lakini haikufika katika mipaka yake ya sasa. Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) aliimarisha sana dola hiyo, akiwa yeye na babake wameitawala kwa misingi ya Kiislamu. Ilibaki hivyo hadi mwaka wa 922 KI pale naye alipoaga dunia.



Kufariki kwake kuliifanya dola hiyo igawanywe sehemu mbili: Dola ya Yuda (kusini) na Israili (kaskazini). Bani Israili waligawanyika katika koo zao kwa kiasi ambacho walianza kupigana wao kwa wao (baina dola mbili hizo) na ufisadi ukakithiri kwa kiasi kikubwa sana. Wakati huo ndio alitokea mtu kwa jina la Yuda aliyekiuka mipaka ya Dini na kuasi. Alipata wafuasi wengi na hapo kukazaliwa Dini ya Uyahudi.



Hali hiyo halisi ya mapambano baina ya Bani Israili iliwapelekea dola zao mbili hizo kudhoofika na mwisho katika mwaka wa 722 KI, dola ya Israili ilianguka na eneo hilo kutawaliwa na Wa-Asiria. Nayo dola ya Yuda ilivamiwa na mfalme Nubukadneza wa Babeli (Iraq) mwaka 586 KI, na dola hiyo kuingia katika utawala wa Kibabeli. Wana wa Israili wote walipelekwa uhamishoni huko Iraq kama watumwa. Hapo wengine wao walipata kukimbia na kuingia Ufursi (Iran) ambapo walijaribu kufanya mahusiano ya karibu na utawala wa huko hadi wakamtoa msichana wao kwa ajili ya kuolewa na mfalme wa Iran. Mafungamano hayo yalimfanya mfalme Cyrus wa Iran aunde jeshi kwa usaidizi wa Mayahudi ili kuivamia Palestina na kuwang'oa Wababeli. Cyrus alifanikiwa kuwashinda Wababeli kutoka Palestina na kuwapatia ruhusa Mayahudi kurudi katika nchi hiyo lakini hata hivyo waliorudi hawakuwa wengi, walikuwa wachache sana. Wengi miongoni mwao walibakia katika nchi ya uhamisho wao. Kushinda kwao kulitokea mwaka wa 538 KI. Hata hivyo, Mayahudi wakati wa utawala wa Kifursi hawakuwa na mamlaka wala madaraka yoyote lakini walipatiwa uhuru wa kufanya Ibadah zao bila kufuatiliwa, kuingiliwa wala kubughudhiwa na Wafursi.



Na katika mwaka 332 KI, Palestina ilivamiwa na kutekwa na Warumi wakiongozwa na Alexander kutoka Macedonia. Hata hivyo, Warumi hawakuweza kukaa huko kwa muda mrefu pale wafalme wa kutoka Syria walipovamia sehemu hiyo na kuitia katika utawala wao mwaka 198 KI.



Wayunani nao waliiteka ardhi hiyo mwaka wa 175 Ki na kuitawala. Mayahudi waliweza kujizatiti na kuiteka sehemu hiyo ya ardhi mwaka wa 166 KI na ikabaki mikononi mwao kwa kipindi cha miaka 4. Wasyria walirudi tena kwa kishindo na kuwashinda Mayahudi mwaka wa 162 KI. Hata hivyo, nao Mayahudi walijizatiti kwa mara nyingine tena wakaja wakawang'oa Wasyria kutoka sehemu hiyo mwaka 143 KI. Hapo waliweza kuibakisha ardhi hiyo katika utawala wao hadi mwaka 70 KI.



Kwa miaka saba baada ya huo mwaka wa 70 kukawepo vurugu kubwa hadi mwishowe Warumi wakaweza kuwashinda Mayahudi mnamo 63 KI. Kuanzia mwaka huo hadi mwaka wa 616 BI (Baada ya kuzaliwa kwa Nabii ‘Iysa) Palestina ilibaki katika utawala wa Warumi isipokuwa kile kipindi cha mapinduzi ya Mayahudi cha mwaka 66 BI na 132 – 135 BI. Hata hivyo, katika kipindi cha mapinduzi hayo ya Mayahudi serikali ya Roma ilituma wanajeshi wake wengi ili kuyasagasaga hayo mapinduzi. Ni wakati huo ndio serikali ya Kirumi ilipitisha sheria kuwa mji wa al-Quds haufai kukaliwa na Mayahudi.



Utawala wa Kirumi ulisitishwa kidogo na ule wa Wafursi mwaka wa 616 BI. Lakini utawala wa Wafursi haukukaa kwa muda mrefu kwani katika mwaka wa 624 BI walishindwa na Warumi katika vita ambavyo Allaah Amevizungumzia katika Suratur Ruum (30): Aayah 1 – 5. Warumi waliweza kusonga mbele hadi kuuteka mji wa al-Quds katika kipindi cha muda miaka 3 hadi 4.



Kipindi baada ya Sulhu ya Hudaybiyah ndicho kile ambacho Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alianza kupeleka barua kwa mataifa mbali na ndio barua hiyo ikamfikia mfalme wa Warumi, Hiraql (Heraclius) akiwa al-Quds mwaka wa 628 BI. Hapo ndio yalianza mapambano baina ya Waislamu wakiongozwa na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Warumi. Mji wa al-Quds uliingia mikononi mwa Waislamu wakati wa ukhalifa wa 'Umar bin al-Khatwtwaab (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye alifunga safari kwenda kuchukua funguo za mji kutoka kwa kasisi Sophronius mwaka wa 638 BI na hapo miji mingi ya Palestina ikaingia katika Dola ya Kiislamu. Nchi hiyo pamoja na nchi za Shaam zote zilibakia katika utawala wa Kiislamu hadi mwaka wa 1099 BI wakati ambapo Wakristo walikuja kuzivamia ardhi hizo katika vita vya Msalaba.



Watu wa Msalaba kutoka bara Ulaya waliweza kuwaua Waislamu 70,000 ndani ya eneo la Msikiti wa Aqswa. Wakristo waliweza kuitawala ardhi hiyo kwa muda wa miaka 88 ambapo harakati za kuikomboa zilipamba moto. Harakati hizo zilianzishwa na Nuurud-Diyn Zinkiy, mwanae Nuurud-Diyn Mahmuud na baadaye Swalaahud-Diyn Hasan al-Ayyuubiy ambaye aliweza kwa tawfiki ya Allaah kuirudisha Palestina kuwa katika Dola ya Kiislamu mwaka 1187 BI.



Kuanzia mwaka huo wa 1187 BI, Palestina ilibakia kuwa katika Dola ya Kiislamu hadi baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia (1917) ndio Palestina iliingia katika utawala wa Uingereza. Wenyeji wa al-Quds hawakusadiki masikio yao pale walipokusanyika kumsikiliza jemadari Allenby katika uwanja wa al-Quds. Allenby alisema kwa uwazi kabisa: "Leo ndio vita vya Msalaba vimekwisha". Kabla hata ya kuiteka na kuitawala ardhi hiyo, serikali ya Uingereza tayari ilikuwa imewaahidi Wazeyuni kuwa wakiondoka watawazawadia wao kipande hicho cha ardhi. Hayo yanapatikana katika ahadi au tangazo la Waziri wa Nje, Arthur James Balfour ya tarehe 2 Novemba 1917.



Na kweli kwa ahadi yao, Uingereza ilipoondoka Mei 1948 waliwaachia ardhi hiyo Wazeyuni wasiokuwa na mafungamano na ardhi hiyo. Hakika ni kuwa Mayahudi wakati huo na kabla ya hapo hawakuwa na kitambulisho cha aina yoyote ile. Hii ni kwa mujibu wa barua aliyoiandika Dkt Chaim Weizman ya 18 Aprili 1918 kwa mkewe: "Ni masikitiko makubwa kuona kuwa hapa hatuna chochote. Hapa hakuna hata taasisi moja ya Kiyahudi, lakini kumejaa minara (kumaanisha wingi wa Misikiti)".



Ndugu zetu walianzisha harakati ya kutaka kujikomboa na minyororo ya ukoloni. Harakati ya kwanza ni ile iliyoongozwa na Sh. Abdul-Qaadir al-Qassaam, kutoka Syria mwaka 1925. Mwaka wa 1929 kulikuwa na Intifadha ya al-Buraaq, naye Sh. Al-Qassaam akauliwa mwaka wa 1935 alipokuwa anapambana na jeshi la Muingereza katika maeneo hayo matakatifu.



Kuanzia mwaka wa 1948, kumekuwa na vita baina ya Waarabu na Wazeyuni, lakini Waarabu wakashindwa sana kwa kutokuwa na kiongozi mmoja, kutokuwa na mipango mizuri na wakati mwingine kushirikiana na dola haramu ya Israili. Hata hivyo, sababu kubwa ya kushindwa ni kule Waarabu kuichukulia kuwa hiyo ni kadhiya ya Waarabu tu na kutowajumuisha Waislamu wengineo.
 
Pamoja na kwamba katika historia huwa kuna upotoshaji kwa namna moja au nyingine lakini mjadala wetu utaenda vizuri tutakapotumia rejea mbalimbali za vitabu vituku vya Mungu yaani Taurat, Injili,Zaburi na Quran.
Mimi nitaandika hisoria fupi ya wana wa israel,mayahudi na wazayuni kwa mujibu wa Quran ilivyoelezea.

Makao ya awali yalianzishwa Palestina katika miaka ya 14000 hadi 8000 KI (Kabla ya kuzaliwa kwa ‘Nabii ‘Iysa) kwa utawala wa Tatwafi. Na katika mwaka 8000 KI, mji wa Ariha (Jericho) ulianzishwa huko Palestina. Mji huo ulijengwa na wenyeji ukajengeka kwa njia ya mipango kama ilivyo miji ya kisasa.



Makabila ya mwanzo kuja kuweka makazi yao katika nchi ya Palestina ni yale makabila ya Wayebusi, Waamori, Wahiti, Wakanaani, Waamalika na Wafiniki. Makabila haya yalikaa katika maeneo tofauti ya nchi hiyo: Wakanaani waliweka makazi yao katika eneo la Gaza ilhali Wayebusi walibuni mji wa Yebus, ambao kwa sasa unajulikana kama mji wa al-Quds. Makabila haya yalihamia huko kutoka kusini mwa Bara Arabu takriban mwaka 3000 KI.



Katika mwaka wa 1900 KI, Nabii Ibraahim (‘Alayhis Salaam) alihamia kutoka Iraq na kuja kuweka makazi yake katika mji wa Khalil. Hapo ndipo alipomzaa Nabii Ismaa‘iyl na Ishaaq (‘Alayhimas Salaam) na baadaye kuzaliwa Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam).



Katika kipindi 1800 – 1600 KI, Palestina ilitawaliwa na Waheksosi. Ni katika kipindi hiki katika mwaka wa 1750 KI ndio Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam) alizaliwa.



Katika karne ya 16 KI (yaani mwaka wa 1580 KI), Bani Israili waliokuwa Misri walitiwa utumwani na Firauni wa wakati huo kuvamia na kuitawala Palestina kwa muda kabla ya sehemu hiyo kuingia katika utawala wa Kiislamu.



Mwaka 1250 KI, Nabii Musa (‘Alayhis Salaam) aliagiziwa na Allaah Aliyetukuka atoke Misri ambako wana wa Israili walikuwa ni watumwa waende wakaishi katika ardhi tukufu. Kwa ajili ya ukaidi wao (Qur-aan 5: 21 – 26), walipigwa marufuku kuingia katika ardhi hiyo. Mbali na hilo walipigwa adhabu kali ya kutangatanga katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini (40). Katika kipindi hicho, wale wote waliokuwa wamebaleghe walikufa katika jangwa kikabakia kizazi ambacho kililelekea katika maadili ya Kiislamu, Imani na uchaji Mungu kuingia katika ardhi hiyo tukufu. Kizazi hicho kilipata darsa ya ukakamavu, utii, kujitolea mhanga na malezi bora, hivyo kwa tawfiki ya Allaah Aliyetukuka kuweza kuingia ardhi hiyo mwaka 1190 KI wakiongozwa na Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam). Wakati huo tayari Nabii Muusa (‘Alayhis Salaam) alikuwa ameaga dunia hivyo kutoweza kuingia katika ardhi hiyo.



Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam) ndiye mwana Israili wa kwanza aliyeanzisha dola katika maeneo ya Palestina. Hata hivyo, wana wa Israili chini ya uongozi wa Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam) hawakuweza kuliteka eneo lote la Palestina katika mipaka yake ya sasa na hata mji wa al-Quds haukuingia mikononi mwake. Ifahamike kuwa dola hiyo haikuwa katika misingi ya Kiyahudi kwani dini ya Kiyahudi ilikuwa haijabuniwa kamwe wakati huo bali ilikuwa ikipekeshwa katika misingi ya Kiislamu.



Dola hii haikukaa kwa muda kwani vurugu liliingia kati baada ya kuaga dunia Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam), hivyo kushikiliwa na Ma-Qaadhi kabla ya kusambaratika kabisa kabisa. Kufikiwa na hayo, Bani Israili waliingia katika utawala wa Wapalestina ambayo asili yao ni Wakanaani. Kudhalilishwa kwao huko kuliwafanya watake msaada kutoka kwa Allaah Aliyetukuka ili warudi katika enzi zao (Qur-aan, 2: 246). Allaah Aliyetukuka Aliwateulia Twaaluut kuwa mfalme wao wa kuwaongoza wao kwenda kupambana na Wapalestina wakiongozwa na Jaaluut (Qur-aan, 2: 247). Bani Israili waligomba sana kuhusu uchaguzi huo, hata hivyo wapo waliokuwa na Imani ambao walisalimu amri na kujizatiti kwenda kupambana na Wapalestina. Wakati huo, Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) alikuwa kijana mdogo aliyejiunga na jeshi hilo ambalo kwa tawfiki ya Allaah Aliyetukuka liliweza kulishinda jeshi la Jaaluut (Qur-aan, 2: 248 – 251). Ushindi huo ulipatikana mwaka wa 1025 KI. Twaaluut aliweza kuanzisha tena dola ya Kiislamu Palestina ikiwa inaongozwa na Bani Israili mpaka kufa kwake mnamo 1004 KI.



Baada ya kuaga dunia tu, hatamu za uongozi zilishikwa na Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) ambaye aliipanua dola hiyo kwa kasi kubwa sana. Ni wakati wake ndio mji wa al-Quds uliweza kutekwa. Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) aliaga dunia mwaka wa 960 KI na kumuacha mtoto wake, Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) katika utawala. Kwa upande wake naye, Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) aliipanua dola hiyo lakini haikufika katika mipaka yake ya sasa. Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) aliimarisha sana dola hiyo, akiwa yeye na babake wameitawala kwa misingi ya Kiislamu. Ilibaki hivyo hadi mwaka wa 922 KI pale naye alipoaga dunia.



Kufariki kwake kuliifanya dola hiyo igawanywe sehemu mbili: Dola ya Yuda (kusini) na Israili (kaskazini). Bani Israili waligawanyika katika koo zao kwa kiasi ambacho walianza kupigana wao kwa wao (baina dola mbili hizo) na ufisadi ukakithiri kwa kiasi kikubwa sana. Wakati huo ndio alitokea mtu kwa jina la Yuda aliyekiuka mipaka ya Dini na kuasi. Alipata wafuasi wengi na hapo kukazaliwa Dini ya Uyahudi.



Hali hiyo halisi ya mapambano baina ya Bani Israili iliwapelekea dola zao mbili hizo kudhoofika na mwisho katika mwaka wa 722 KI, dola ya Israili ilianguka na eneo hilo kutawaliwa na Wa-Asiria. Nayo dola ya Yuda ilivamiwa na mfalme Nubukadneza wa Babeli (Iraq) mwaka 586 KI, na dola hiyo kuingia katika utawala wa Kibabeli. Wana wa Israili wote walipelekwa uhamishoni huko Iraq kama watumwa. Hapo wengine wao walipata kukimbia na kuingia Ufursi (Iran) ambapo walijaribu kufanya mahusiano ya karibu na utawala wa huko hadi wakamtoa msichana wao kwa ajili ya kuolewa na mfalme wa Iran. Mafungamano hayo yalimfanya mfalme Cyrus wa Iran aunde jeshi kwa usaidizi wa Mayahudi ili kuivamia Palestina na kuwang’oa Wababeli. Cyrus alifanikiwa kuwashinda Wababeli kutoka Palestina na kuwapatia ruhusa Mayahudi kurudi katika nchi hiyo lakini hata hivyo waliorudi hawakuwa wengi, walikuwa wachache sana. Wengi miongoni mwao walibakia katika nchi ya uhamisho wao. Kushinda kwao kulitokea mwaka wa 538 KI. Hata hivyo, Mayahudi wakati wa utawala wa Kifursi hawakuwa na mamlaka wala madaraka yoyote lakini walipatiwa uhuru wa kufanya Ibadah zao bila kufuatiliwa, kuingiliwa wala kubughudhiwa na Wafursi.



Na katika mwaka 332 KI, Palestina ilivamiwa na kutekwa na Warumi wakiongozwa na Alexander kutoka Macedonia. Hata hivyo, Warumi hawakuweza kukaa huko kwa muda mrefu pale wafalme wa kutoka Syria walipovamia sehemu hiyo na kuitia katika utawala wao mwaka 198 KI.



Wayunani nao waliiteka ardhi hiyo mwaka wa 175 Ki na kuitawala. Mayahudi waliweza kujizatiti na kuiteka sehemu hiyo ya ardhi mwaka wa 166 KI na ikabaki mikononi mwao kwa kipindi cha miaka 4. Wasyria walirudi tena kwa kishindo na kuwashinda Mayahudi mwaka wa 162 KI. Hata hivyo, nao Mayahudi walijizatiti kwa mara nyingine tena wakaja wakawang’oa Wasyria kutoka sehemu hiyo mwaka 143 KI. Hapo waliweza kuibakisha ardhi hiyo katika utawala wao hadi mwaka 70 KI.



Kwa miaka saba baada ya huo mwaka wa 70 kukawepo vurugu kubwa hadi mwishowe Warumi wakaweza kuwashinda Mayahudi mnamo 63 KI. Kuanzia mwaka huo hadi mwaka wa 616 BI (Baada ya kuzaliwa kwa Nabii ‘Iysa) Palestina ilibaki katika utawala wa Warumi isipokuwa kile kipindi cha mapinduzi ya Mayahudi cha mwaka 66 BI na 132 – 135 BI. Hata hivyo, katika kipindi cha mapinduzi hayo ya Mayahudi serikali ya Roma ilituma wanajeshi wake wengi ili kuyasagasaga hayo mapinduzi. Ni wakati huo ndio serikali ya Kirumi ilipitisha sheria kuwa mji wa al-Quds haufai kukaliwa na Mayahudi.



Utawala wa Kirumi ulisitishwa kidogo na ule wa Wafursi mwaka wa 616 BI. Lakini utawala wa Wafursi haukukaa kwa muda mrefu kwani katika mwaka wa 624 BI walishindwa na Warumi katika vita ambavyo Allaah Amevizungumzia katika Suratur Ruum (30): Aayah 1 – 5. Warumi waliweza kusonga mbele hadi kuuteka mji wa al-Quds katika kipindi cha muda miaka 3 hadi 4.



Kipindi baada ya Sulhu ya Hudaybiyah ndicho kile ambacho Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alianza kupeleka barua kwa mataifa mbali na ndio barua hiyo ikamfikia mfalme wa Warumi, Hiraql (Heraclius) akiwa al-Quds mwaka wa 628 BI. Hapo ndio yalianza mapambano baina ya Waislamu wakiongozwa na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Warumi. Mji wa al-Quds uliingia mikononi mwa Waislamu wakati wa ukhalifa wa 'Umar bin al-Khatwtwaab (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye alifunga safari kwenda kuchukua funguo za mji kutoka kwa kasisi Sophronius mwaka wa 638 BI na hapo miji mingi ya Palestina ikaingia katika Dola ya Kiislamu. Nchi hiyo pamoja na nchi za Shaam zote zilibakia katika utawala wa Kiislamu hadi mwaka wa 1099 BI wakati ambapo Wakristo walikuja kuzivamia ardhi hizo katika vita vya Msalaba.



Watu wa Msalaba kutoka bara Ulaya waliweza kuwaua Waislamu 70,000 ndani ya eneo la Msikiti wa Aqswa. Wakristo waliweza kuitawala ardhi hiyo kwa muda wa miaka 88 ambapo harakati za kuikomboa zilipamba moto. Harakati hizo zilianzishwa na Nuurud-Diyn Zinkiy, mwanae Nuurud-Diyn Mahmuud na baadaye Swalaahud-Diyn Hasan al-Ayyuubiy ambaye aliweza kwa tawfiki ya Allaah kuirudisha Palestina kuwa katika Dola ya Kiislamu mwaka 1187 BI.



Kuanzia mwaka huo wa 1187 BI, Palestina ilibakia kuwa katika Dola ya Kiislamu hadi baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia (1917) ndio Palestina iliingia katika utawala wa Uingereza. Wenyeji wa al-Quds hawakusadiki masikio yao pale walipokusanyika kumsikiliza jemadari Allenby katika uwanja wa al-Quds. Allenby alisema kwa uwazi kabisa: “Leo ndio vita vya Msalaba vimekwisha”. Kabla hata ya kuiteka na kuitawala ardhi hiyo, serikali ya Uingereza tayari ilikuwa imewaahidi Wazeyuni kuwa wakiondoka watawazawadia wao kipande hicho cha ardhi. Hayo yanapatikana katika ahadi au tangazo la Waziri wa Nje, Arthur James Balfour ya tarehe 2 Novemba 1917.



Na kweli kwa ahadi yao, Uingereza ilipoondoka Mei 1948 waliwaachia ardhi hiyo Wazeyuni wasiokuwa na mafungamano na ardhi hiyo. Hakika ni kuwa Mayahudi wakati huo na kabla ya hapo hawakuwa na kitambulisho cha aina yoyote ile. Hii ni kwa mujibu wa barua aliyoiandika Dkt Chaim Weizman ya 18 Aprili 1918 kwa mkewe: “Ni masikitiko makubwa kuona kuwa hapa hatuna chochote. Hapa hakuna hata taasisi moja ya Kiyahudi, lakini kumejaa minara (kumaanisha wingi wa Misikiti)”.



Ndugu zetu walianzisha harakati ya kutaka kujikomboa na minyororo ya ukoloni. Harakati ya kwanza ni ile iliyoongozwa na Sh. Abdul-Qaadir al-Qassaam, kutoka Syria mwaka 1925. Mwaka wa 1929 kulikuwa na Intifadha ya al-Buraaq, naye Sh. Al-Qassaam akauliwa mwaka wa 1935 alipokuwa anapambana na jeshi la Muingereza katika maeneo hayo matakatifu.



Kuanzia mwaka wa 1948, kumekuwa na vita baina ya Waarabu na Wazeyuni, lakini Waarabu wakashindwa sana kwa kutokuwa na kiongozi mmoja, kutokuwa na mipango mizuri na wakati mwingine kushirikiana na dola haramu ya Israili. Hata hivyo, sababu kubwa ya kushindwa ni kule Waarabu kuichukulia kuwa hiyo ni kadhiya ya Waarabu tu na kutowajumuisha Waislamu wengineo.
 
Hekima za wanadamu

Baada ya Rumi kuitawala Yudah na kuwasambaratisha ulaya na kwiningeko, Othoman na mlolongo wa watawala wengine uliingia hapo Israel (Kaanani) na muhimu ni Ottoman ambaye alipofika pale alijenga Huo msikiti apalipokuwa na Hekalu la Solomon kama njia moja wapo ya kuweka alama ya uislam n ownership ya kanaani. Watu wakaanza kuhamia pale kwakati yudah yuko utumwani

Sura ya mambo ilibadilika baada ya hitler kuamua kufanya extermination kwa wayahudi, vita ya dunia na kila kitu.
baada ya mambo haya ikabidi umoja wa mataifa waaamue kwamba watu hawa wana mahali ambapo ni asili yao warudishwe huko. ndo wakarudishwa kanaani. tena wengi waliotoroka kurudi kwenyenchi ile walikuwa wananunua maeneo yale kwa pesa mwishowe waarabu wakajituka wameuza maeneo mengi na wameanza kumezwa ndo wakaanza fujo na vurugu na vita lakini kila vita ilipokuwa ikitokea waisrealewalipata advantage ya kunyakua maeneo zaidi
 
hapa kitu ambacho kiko wazi ule mgogoro utatatuliwa wakati muafaka utakapofika
cha ajabu sana ambacho huwa sipati picha kitawezekana vipi ni pale Mungu anaahidi na kuthibitisha kwamba hekalu litajengwa tena pale kwa maana kwamba msikiti ule utabomolewa tena kwa njia ya amani na mazungumzo
 
Katika Quran Mungu kasema haya;

"Walialaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa Wana wa Isarili kwa ulimi wa Daawuud na ‘Iysa bin Maryam. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakapindukia mipaka" (5: 78).

Pia, "Tukambarikia yeye (Ibraahiym) na Is-haaq. Na katika kizazi chao walitokea watendao wema na wanaodhulumu nafsi zao waziwazi" (37: 113).
Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Anasema kupitia kwa ulimi wa Nabii Musa (‘Alayhis Salaam): "Enyi watu wangu! Ingieni katika hiyo ardhi iliyotakaswa ambayo Allaah Amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika" (5: 21).
Na hapa ndipo paliponifanya nijiulize maswali hayo niliyoandika mwanzoni. Je hawa watu wanahaki hii leo waliowapewa katika njia isiyokuwa ya sawa na Mingereza ambaye ndie mkoloni wa mwisho katika ardhi ya Palestina? Ikumbukwe huyu ndie aliye wakusanya mayahudi kutoka sehemu mbalimbali na kuwagaawia ardhi nusu na nyingine kuwapa Waarabu.
 
Daniel 9:20-27
20 And whiles I was speaking, and praying, and confessing my sin and the sin of my people Israel, and presenting my supplication before the LORD my God for the holy mountain of my God;
21 Yea, whiles I was speaking in prayer, even the man Gabriel, whom I had seen in the vision at the beginning, being caused to fly swiftly, touched me about the time of the evening oblation.
22 And he informed me, and talked with me, and said, O Daniel, I am now come forth to give thee skill and understanding.
23 At the beginning of thy supplications the commandment came forth, and I am come to shew thee; for thou art greatly beloved: therefore understand the matter, and consider the vision.
24 Seventy weeks are determined upon thy people and upon thy holy city, to finish the transgression, and to make an end of sins, and to make reconciliation for iniquity, and to bring in everlasting righteousness, and to seal up the vision and prophecy, and to anoint the most Holy.
25 Know therefore and understand, that from the going forth of the commandment to restore and to build Jerusalem unto the Messiah the Prince shall be seven weeks, and threescore and two weeks: the street shall be built again, and the wall, even in troublous times.
26 And after threescore and two weeks shall Messiah be cut off, but not for himself: and the people of the prince that shall come shall destroy the city and the sanctuary; and the end thereof shall be with a flood, and unto the end of the war desolations are determined.
27 And he shall confirm the covenant with many for one week: and in the midst of the week he shall cause the sacrifice and the oblation to cease, and for the overspreading of abominations he shall make it desolate, even until the consummation, and that determined shall be poured upon the desolate.
 
hapa kitu ambacho kiko wazi ule mgogoro utatatuliwa wakati muafaka utakapofika
cha ajabu sana ambacho huwa sipati picha kitawezekana vipi ni pale Mungu anaahidi na kuthibitisha kwamba hekalu litajengwa tena pale kwa maana kwamba msikiti ule utabomolewa tena kwa njia ya amani na mazungumzo

Hio battle uisemayo wewe Mtume Muhammad SAW kasema haya,
Vita vitagavyopiganwa baina ya Waislamu upande mmoja na Mayahudi
upande mwengine. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)
anatueleza:
"Qiyaama hakitofika mpaka Waislamu wapigane na Mayahudi. Mayahudi
watakuwa wanauliwa na kuwafanya wajifiche nyuma ya miti na mawe
ambayo itasema: ‘Ewe Muislamu! Ewe mja wa Allaah! Njoo nyuma yangu
yupo Yahudi umuue …" (Al-Bukhaariy na Muslim)
 
Daniel 11: 21-45
21 And in his estate shall stand up a vile person, to whom they shall not give the honour of the kingdom: but he shall come in peaceably, and obtain the kingdom by flatteries.
22 And with the arms of a flood shall they be overflown from before him, and shall be broken; yea, also the prince of the covenant.
23 And after the league made with him he shall work deceitfully: for he shall come up, and shall become strong with a small people.
24 He shall enter peaceably even upon the fattest places of the province; and he shall do that which his fathers have not done, nor his fathers' fathers; he shall scatter among them the prey, and spoil, and riches: yea, and he shall forecast his devices against the strong holds, even for a time.
25 And he shall stir up his power and his courage against the king of the south with a great army; and the king of the south shall be stirred up to battle with a very great and mighty army; but he shall not stand: for they shall forecast devices against him.
26 Yea, they that feed of the portion of his meat shall destroy him, and his army shall overflow: and many shall fall down slain.
27 And both of these kings' hearts shall be to do mischief, and they shall speak lies at one table; but it shall not prosper: for yet the end shall be at the time appointed.
28 Then shall he return into his land with great riches; and his heart shall be against the holy covenant; and he shall do exploits, and return to his own land.
29 At the time appointed he shall return, and come toward the south; but it shall not be as the former, or as the latter.
30 For the ships of Chittim shall come against him: therefore he shall be grieved, and return, and have indignation against the holy covenant: so shall he do; he shall even return, and have intelligence with them that forsake the holy covenant.
31 And arms shall stand on his part, and they shall pollute the sanctuary of strength, and shall take away the daily sacrifice, and they shall place the abomination that maketh desolate.
32 And such as do wickedly against the covenant shall he corrupt by flatteries: but the people that do know their God shall be strong, and do exploits.
33 And they that understand among the people shall instruct many: yet they shall fall by the sword, and by flame, by captivity, and by spoil, many days.
34 Now when they shall fall, they shall be holpen with a little help: but many shall cleave to them with flatteries.
35 And some of them of understanding shall fall, to try them, and to purge, and to make them white, even to the time of the end: because it is yet for a time appointed.
36 And the king shall do according to his will; and he shall exalt himself, and magnify himself above every god, and shall speak marvellous things against the God of gods, and shall prosper till the indignation be accomplished: for that that is determined shall be done.
37 Neither shall he regard the God of his fathers, nor the desire of women, nor regard any god: for he shall magnify himself above all.
38 But in his estate shall he honour the God of forces: and a god whom his fathers knew not shall he honour with gold, and silver, and with precious stones, and pleasant things.
39 Thus shall he do in the most strong holds with a strange god, whom he shall acknowledge and increase with glory: and he shall cause them to rule over many, and shall divide the land for gain.
40 And at the time of the end shall the king of the south push at him: and the king of the north shall come against him like a whirlwind, with chariots, and with horsemen, and with many ships; and he shall enter into the countries, and shall overflow and pass over.
41 He shall enter also into the glorious land, and many countries shall be overthrown: but these shall escape out of his hand, even Edom, and Moab, and the chief of the children of Ammon.
42 He shall stretch forth his hand also upon the countries: and the land of Egypt shall not escape.
43 But he shall have power over the treasures of gold and of silver, and over all the precious things of Egypt: and the Libyans and the Ethiopians shall be at his steps.
44 But tidings out of the east and out of the north shall trouble him: therefore he shall go forth with great fury to destroy, and utterly to make away many.
45 And he shall plant the tabernacles of his palace between the seas in the glorious holy mountain; yet he shall come to his end, and none shall help him
 
King James Version: Daniel Chapter 12

1 And at that time shall Michael stand up, the great prince which standeth for the children of thy people: and there shall be a time of trouble, such as never was since there was a nation even to that same time: and at that time thy people shall be delivered, every one that shall be found written in the book.
2 And many of them that sleep in the dust of the earth shall awake, some to everlasting life, and some to shame and everlasting contempt.
3 And they that be wise shall shine as the brightness of the firmament; and they that turn many to righteousness as the stars for ever and ever.
4 But thou, O Daniel, shut up the words, and seal the book, even to the time of the end: many shall run to and fro, and knowledge shall be increased.
 
Mwanzo tungependa kutoa taarifa fupi kuhusiana na ibara tatu: Wana wa Israili, Mayahudi na Wazeyuni.
Wana wa Israili ni kabila la jamii iliyozalikana na Nabii Ya‘quub (‘Alayhis Salaam) ambaye jina lake jengine lilikuwa ni Israil. Hivyo, kizazi cha watoto wake kumi na wawili kikawa kinaitwa Bani Israili (Wana wa Israili). Miongoni mwao wapo Waislamu kuanzia enzi hizo za awali na wengine ni makafiri.

Mayahudi ni makafiri kati ya Wana wa Israili. Katika hili Anatuelezea Allaah Aliyetukuka: "Walialaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa Wana wa Isarili kwa ulimi wa Daawuud na ‘Iysa bin Maryam. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakapindukia mipaka" (5: 78).

Pia, "Tukambarikia yeye (Ibraahiym) na Is-haaq. Na katika kizazi chao walitokea watendao wema na wanaodhulumu nafsi zao waziwazi" (37: 113).

Ama Uzeyuni ni chama cha kisiasa kilichoanzishwa na Dkt. Theodore Herzl mwaka wa 1895 chenye uana memba wa Mayahudi pekee. Malengo yao yako wazi kabisa na lengo la msingi ni kuiteka na kuitawala Palestina milele. Nchi ambayo wanataka kuifanya ni ya Mayahudi pekee kusiwe na watu aina nyengine yoyote.

Jambo ambalo tunatakiwa tulifahamu ni kuwa wengi miongoni mwa wanaojiita Mayahudi au Wana wa Israili sasa si Waisraili kidamu. Hawa wengi wao ni wale walioingia katika Uyahudi takriban karne kumi na moja iliyopita, lakini kwa maslahi yao wenyewe wakawa wanajiita kuwa wao pia ni Mayahudi. Jambo hili limeyakinishwa na watafiti hata wasiokuwa Waislamu. Tukiangaza katika ulimwengu sasa huenda tukajiuliza, je, wazawa halisi wa Nabii Ibrahim ni wapi? Hebu tutizame nukuu zifuatazo:

"Huwezi kufanya mapatano baina ya pande mbili ukiwa wewe ndiye mwenye matatizo. Amerika haiwezi kutatua tatizo kwa sababu ilisaidia kuanzisha kwa hila iliyo wazi na lengo ambalo litaendelea kuihudumikia vyema. Hii ilitokana na mfoko wa wasiwasi wa karne ya 19 kwa Wazeyuni wa Kizungu – mapambano ya Mayahudi wa Kaukazi (Caucasian) [1] kuanzisha ‘Nyumba ya Mayahudi' nje ya mabara ya Amerika na Ulaya.

Kweli, kafara ya Hitler ilikuwa ya siku za usoni. Lakini ilicheza dauru muhimu na kuu kwa mataifa ya Kikristo kugeuza ghafula muelekeo wao kwa Mayahudi. Japo kuwa uzio kwa Mayahudi ulibaki mkali, hisia za hatia zilianza kupenya katika dhamiri za Wazungu. Kwa nini tusiutumie Uzeyuni na tuue ndege wawili kwa jiwe moja? Wasaidie Mayahudi kupata nchi mbali na Bara Ulaya mahabubu, na kwa hivyo punguza hatia na ondoa uzio. Wazeyuni walijitoa kutumiwa na wanyanyasaji wao wa awali na kuwa ala ya kuwaibia na kuwatesa watu wengine kabisa – Waarabu. Kwa muda mrefu tumemeza madai ya ulaghai na udanganyifu wa Uzeyuni kuwa Mayahudi wa Ulaya ni Wasemiti – dhuria wa Judah (Yudah).

Matendo ya Israili yanathibitisha hayo. Mayahudi wote ambao si Wazungu (wale wanaohamia Israili kutoka mataifa ya Kiarabu na Afrika kuanzia 1948, kama Wafalasha kutoka Habeshi) ni raia wa daraja la pili. Ni kwa nini Israili inacheza michuano ya kimataifa ya kandanda katika Bara Ulaya na wala sio Bara la Asia? Ahadi za Amerika hazivunjwi bali zinatekelezwa vilivyo. Usaidizi wake kwa Israili ni mwingi zaidi kuliko nchi zote zilizobaki zikichanganywa pamoja. Mbali na fedha taslimu, [2] kuna elimu nyeti ya kisayansi, teknolojia na ya kivita ambayo Amerika haithubutu wala kubahatisha kuipatia taifa lolote" (Why American Arbitration is Fraudulent (Kwa Nini Usuluhishi wa Amerika ni wa Udanganyifu, Sunday Nation, Nairobi, April 21, 2002, uk. 9).

Uhusiano wa Mayahudi kiutendaji ulikatika kabisa Palestina kwa takribani miaka 1,800 (yaani kuanzia 135 BI mpaka karne ya ishirini). Katika kipindi hiki, hawakuwa na nguvu wala uwezo wa kisiasa au kitamaduni au wa uongozi, bali walikatazwa kabisa na mafundisho ya dini yao kurudi huko. Na zaidi ya 80% ya Mayahudi wa wakati huu, kulingana na utafiti wa Mayahudi wenyewe, mfano wa mwandishi mashuhuri Arthur Koestler, hawana uhusiano wowote wa kihistoria na Palestina. Hivyo hivyo, hawana uhusiano wowote wa kinasaba na Banu Israili. Mayahudi wengi leo wanatokana na kizazi chenye asili ya Khazari (Ashkenazi), ambao ni katika kabila la Tatari-Waturuki wa kale waliokuwa wakiishi kaskazini mwa Kaukazi walioingia Uyahudini katika karne ya nane Miladi (M). Ikiwa kamwe Mayahudi wana haki ya kurudi basi sio Palestina bali ni kusini mwa Urusi.

Kuongezea ni kwamba dai lao la mafungamano na uhusiano na Palestina haliwezi kusimama mbele ya hakika kuwa Banu Israili wengi walikataa kumuunga Nabii Musa (‘Alayhis Salaam) katika safari ya kwenda ardhi tukufu. Hivyo hivyo, wengi wao walikataa kurudi Palestina kutoka Babeli baada ya Mfalme Cyrus alipojitolea na kuahidi kuwalinda. Na katika historia yao yote mpaka leo, idadi ya Mayahudi wanaokaa Palestina hawazidi 40% ya Mayahudi duniani hata katika kipindi chao kizuri na bora zaidi.

Sasa tukija katika sehemu waliyoahidiwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) walipokuwa wako Misri utumwani wakati wa Nabii Musa (‘Alayhis Salaam) ni Palestina wala Israili kwani wakati huo kulikuwa hakuna nchi hiyo katika ulimwengu. Hasa katika miaka hiyo eneo hilo lilikuwa likiitwa ardhi ya Wakanaani. Ahadi waliyopatiwa wao ni kama ifuatayo, Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Anasema kupitia kwa ulimi wa Nabii Musa (‘Alayhis Salaam): "Enyi watu wangu! Ingieni katika hiyo ardhi iliyotakaswa ambayo Allaah Amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika" (5: 21).

Amesema al-Kalby: Ardhi tukufu ni Damascus, Palestina na baadhi ya sehemu za Jordan. Amesema Qatadah: Hiyo ni Shaam yote (Dkt. Muhsin Muhammad Swaalih, At-Tareeq ilal Quds, Filistinul Muslimah, Chapa ya kwanza, uk. 56). Ama mufasirina wengine wanasema kuwa hiyo ni ardhi ya Palestina.

Je, hii aya imewapatia Mayahudi wirathi wa moja kwa moja katika ardhi ya Palestina? Je, huu ni wirathi wa majukumu au wa damu? Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kuhusu Nabii Ibraahiym (‘Alayhis Salaam) amesema: "Na pindi Mola wako alimpomfanyia Nabii Ibraahiym mtihani kwa Amri nyingi, naye akatimiza. Akamwambia: ‘Hakika Mimi nitakufanya kiongozi wa watu'. Ibraahiym akasema: ‘Je, na katika kizazi changu pia?' Akasema: ‘Ndio lakini ahadi Yangu haitawafikia madhalimu wa nafsi zao" (2: 124).

Kwa hivyo ahadi ya Allaah haiwachanganyi madhalimu. Ni udhalimu gani ulio mkubwa kuliko kukufuru na kueneza uharibifu katika ardhi ambao unashinda ule wa Bani Israili uliofanywa na unaofanywa. Kuna dhulma gani kuliko ya Maisraili kuwafanyia ndugu zetu wa Palestina. Lakini ni Sunnah ya Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kuwapatia nguvu madhalimu ili wawatie adabu Waumini ili waweze kurudi katika njia sahihi ya Uislamu. hili ni fundisho kwetu na kurudi kwetu katika utukufu na nguvu ni kushikamana kwetu na Qur-aan na Sunnah.

Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Anatueleza kuhusu kuhama kwa Nabii Ibraahiym na Luut (‘Alayhimas Salaam):

"Na tulimuokoa yeye (Nabii Ibraahiym) na Luut tukampeleka kwenye ardhi tuliyoibariki kwa ajili ya ulimwengu wote" (21: 71).

Katika msafara wao huu kutoka Ur, Iraq walipitia kusini mwa Uturuki, kaskazini mwa Syria na baadae Nablus kisha Ramallaah baadae al-Quds, kisha Bi-ir Sab-a na kumalizika kwa safari yao huko Misri. Wakati wa kurudi kutoka Misri walipitia Gaza kisha wakachukua njia baina ya Bi-ir Sab-a na Khaliyl (Hebron) na baadae kufanya makazi yake katika mji wa Khaliyl. Wale wana wa Israili wa asili ikiwa wana haki ya kurudi basi warudi Ur na wale ambao hawana damu ya Israili warudi Urusi.

Ni kweli kabisa kuwa Nabii ‘Iysa (‘Alayhis Salaam) alizaliwa, kuishi na kufanya Da‘wah yake katika nchi ya Palestina. Na yeye alitumwa kuwaongoza Wana wa Israili pamoja na kuwaita katika Uislamu ama ibara ya kondoo waliopotea ni ya Biblia na wala sio katika machimbuko ya sharia yetu. Lakini inatakiwa ifahamike kuwa kuwepo kwake katika nchi hiyo haimaanishi kuwa ni ya kwao, Wana wa Israili. Leo wapo watu wengi kutoka Afrika Mashariki waliohamia nchi za ng'ambo (Marekani na Bara Ulaya) kwa sababu moja au nyengine mpaka wakapata uraia wa nchi hizo. Je, watu hawa hudai kuwa nchi hizo ni za kwao? Jambo hili haliingii katika mizani ya mantiki. Tunafahamu kuwa alipozaliwa Nabii ‘Isa (‘Alayhis Salaam) nchi hiyo ya Kanaani ilikuwa inatawaliwa na Kaesari (Dola ya Kirumi) na wana wa Israili hawakuwa ni wenye kuwa na mamlaka aina yoyote. Tufahamu kuwa wakati huo kulikuwa katika nchi hiyo makabila kadhaa yasiyokuwa ya Kiisraili. Sasa ni hoja gani ambayo tutaweza kutoa kuonyesha kuwa ardhi hiyo ilikuwa yao.

Sasa sisi Waislamu tuko chini ya mashambulizi ya vyombo vya habari ambazo zinapotosha uhakika wa mambo. Ni hakika ya kihistoria kuwa Waisraili walitawala kwa kipindi kifupi sana katika nchi ya Palestina. Hakika ni kuwa Waislamu wameamriwa wawafanyie wema watu wa Kitabu, na bila shaka yoyote waliwatendea wema wa hali ya juu ambao haukuonekana katika historia ya mwanadamu. ‘Umar bin al-Khatwtwaab (Radhiya Allaahu ‘Anhu) aliposafiri kutoka Madiynah kuelekea al-Quds ili kukabidhiwa funguo za mji wa al-Quds kutoka kwa kasisi wa Kirumi, Sophronius mwaka 15 H (636 M) walitia saini mkataba ambao ulijulikana kwa jina "Mkataba wa ‘Umar". Wakristo wakati ule kuona njama na ukaidi wa Waisraili walimwambia ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘Anhu) asiwaruhusu kabisa Waisraili kuishi katika mji wa al-Quds kwani wataleta zogo kubwa. Usamehevu wa Waislamu pamoja na huruma yao kwa walimwengu iliwafanya kuwaruhusu na kuweka makazi yao katika nchi hiyo.

Mayahudi waliuliwa kwa kiasi kikubwa pindi Waislamu walipofukuzwa Andalusia (Spain) mwaka 1492 M. Walipata ulinzi kwa kuhamia katika nchi za Kiislamu kama Morocco, Misri, Palestina, Iraaq, Uturuki, Yemen na nchi nyenginezo. Walipata haki zao pamoja na usaidizi ambao hawajawahi kupatiwa na dola yoyote nyengine. Hivyo, Waisraili wakikubali utawala wa Kiislamu wataendelea kuishi katika nchi hizo kama dhimmi (raia wasiokuwa Waislamu wanaopatiwa hifadhi katika Dola ya Kiislamu). Kwa hiyo, wakikubali hilo wataendelea kuishi katika nchi hizo na kupatiwa haki zao.

Ifahamike kuwa dola ya kwanza ya Waisraili katika ardhi ya Kanaani ni ile iliyoanzishwa wakati wa Nabii Yusha bin Nuun (‘Alayhis Salaam) takriban mwaka wa 1210 KI (Kabla ya kuzaliwa Nabii ‘Isa), nayo haikubali kwa muda mrefu kwani alipofariki Waisraili walizozana sana. Utawala wao pia haukuenea Palestina yote kwa mipaka yake ya sasa. Baada ya mzozano wa muda mrefu Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Alimchagua Twaaluut awe mfalme wao ili arudishe tena nguvu na utukufu wao. Waisraili waliokuwa Waislamu chini ya uongozi wa Twaaluut waliweza kuwashinda Wapalestina waliokuwa mapagani na kushika baadhi ya ardhi zao mwaka 1025 KI. Kwa maelezo ya ziada kuhusu mapambano hayo tazama Qur-aan 2: 246 – 251.

Katika mwaka wa 1004 KI, Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) alifanywa mfalme wa dola hiyo changa iliyoanzishwa na mfalme Twaaluut. Katika miaka yote hiyo Waisraili hawakuweza kuiteka na kuutawala mji wa al-Quds. Mji huo uliingia katika dola hiyo katika uhai wa Nabii Daawuud (‘Alayhis Salaam) mwaka wa 995 KI. Utawala wake na mtoto wake Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam) katika thuluthi mbili (2/3) ya ardhi ya Palestina sasa kama nchi moja uliendelea mpaka mwaka wa 922 KI mwaka alioaga dunia Nabii Sulaymaan (‘Alayhis Salaam).

Baada ya hapo dola hiyo ya Kiislamu iligawanyika na kuwa dola mbili. Utawala wao ulimalizika kabisa katika ardhi hiyo mpaka mwaka 15 Mei 1948 walipotunukiwa nchi hiyo na Muingereza kinyume na mikataba ya kimataifa na haki za wanati (raia) wake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom