Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Mar 20, 2018 Thread starter #261 owomkyalo said: We mtoa mada ukifa lazma uende motoni Click to expand... Nani kakudanganya? Au yule Bibi yako aliyeenda akarudi
owomkyalo said: We mtoa mada ukifa lazma uende motoni Click to expand... Nani kakudanganya? Au yule Bibi yako aliyeenda akarudi
Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Mar 20, 2018 Thread starter #262 Cajojo said: Kwa hyo hamuoni kama ni mgonjwa Click to expand... Jibu lako linahitaji jibu tena.... Naona limekaa mfumo wa Swali.... But sio mbaya tumeelewa kuwa kumbe ni mgonjwa
Cajojo said: Kwa hyo hamuoni kama ni mgonjwa Click to expand... Jibu lako linahitaji jibu tena.... Naona limekaa mfumo wa Swali.... But sio mbaya tumeelewa kuwa kumbe ni mgonjwa
kilambimkwidu JF-Expert Member Jul 21, 2017 6,052 7,057 Mar 20, 2018 #263 Hata mm nimeona hayupo sawa mzee, kwanza anababaika sana akianza kuongea
Louis II JF-Expert Member Mar 9, 2018 3,030 4,645 Mar 20, 2018 Thread starter #265 Abuu Said said: Jackline Ntuyabaliwe anamajibu zaidi Click to expand... Hiyo surname ichunguzwe... Itakuwa ni zao la kwa Nkurunzinza
Abuu Said said: Jackline Ntuyabaliwe anamajibu zaidi Click to expand... Hiyo surname ichunguzwe... Itakuwa ni zao la kwa Nkurunzinza
Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,267 1,096,024 Mar 20, 2018 #266 RRONDO said: Furaha hailetwi na utajiri. Click to expand...