Simba Songwe
Member
- Sep 28, 2020
- 59
- 8
Wanakawe tuna jambo letu ,tunamtaka Gwajima awe Mbunge wetu
Siku aliyopata kadi ww haikuhusu ila tambua kadi alikuwa nayo tayari na sasa ameamua kugombea ubunge jimbo la Kawe.Wale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Gwajima hana muda wakusema kitu nyuma ya pazi. yeye kama kitu hakielewi anapasuatuWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Hujielewi wewe,, sisi wana Kawe lazima tumpe kura zetu GwajimaWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Hapo ulipo bado mtoto mdogo saaana subir ukue ndo uje kwenye uwanja wa mapambanoWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Wale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Gwajima hana unafiki huwa anasema ukweli kakipenda chama kutokana na mabadiliko yaliyotokea awamu hii ambayo hata ingekuwaje bila mtu mahili tusingeyapata kweli Gwajima wewe ni mzalendo kawe inakuhitaji sana big upWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Kuna mtu bado anamwamini askofu wa wajinga?!
Angekuwa mdini angezunguka mtaa kwa mtaa kusikiliza kero za kila mmoja ebu vitu vingine jiongeze basiGwajima ni mdini na mbaguzi wa Kikabila sijui ccm waliweka sababu ya kabila lake au sababu anajua sana kutusi Wakatoliki, Waislam, Lutheran, Anglican, Morovia na AIC
Kwani ww kila unachokipenda huwa unawaambia watu?Wale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.
Kwa utaratibu wewe huna mamlaka ya kusema chochote kuhusu chama chetu pendwa cha CCM maana hata kadi hunaWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.