Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,448
Huyu ni ngosha na ndiyo sifa kubwa ya CCM ya sasaWale tusipoenda unafki na wakweli wa Mungu sikilizeni hii sauti. Gwajima hakuwahi kuipenda CCM na alipenda lini?
View attachment 1586576
Sisi wanaccm asili hatutaki watu wa aina hii. Hawa hawana mapenzi na chama kuna kitu wanatafuta. Hatuwezi kuwapa kura hawa.