Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,147
- 9,607
Ndugu zangu watanzania,
Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.
Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.
Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.
sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,
wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.
kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.
Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.
Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.
sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,
wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.
kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627