Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
Habari wakuu.
Ivi ni kweli wanaume tukitongozwa na wanawake hatukatai. Au wanatusingizia hawa wenzetu.
Ivi ni kweli wanaume tumekua dhaifu kiasi hiki.
Kwamba hakuna mwanamke asiekataliwa na mwanaume, au hawakufanya vizuri utafiti wao.
Ivi ni kweli wanaume tukitongozwa na wanawake hatukatai. Au wanatusingizia hawa wenzetu.
Ivi ni kweli wanaume tumekua dhaifu kiasi hiki.
Kwamba hakuna mwanamke asiekataliwa na mwanaume, au hawakufanya vizuri utafiti wao.