Hivi ni kweli wanaume hatukatai?

Heavy Weight

JF-Expert Member
Mar 1, 2014
888
875
Habari wakuu.

Ivi ni kweli wanaume tukitongozwa na wanawake hatukatai. Au wanatusingizia hawa wenzetu.

Ivi ni kweli wanaume tumekua dhaifu kiasi hiki.
Kwamba hakuna mwanamke asiekataliwa na mwanaume, au hawakufanya vizuri utafiti wao.
GBWA-20180811174743~2.jpg
 
Mi nimeshawakaa wengi tu mbona na walikuja kwa njia ambao.... hadi wengine walilia kama watoto
Ulitumia mbinu gani kuwakataa mkuu. Uliwakataa moja kwa moja au ulikua unawakwepa bila kuwaambia direct.
 
Hivi umeona wapi mtu anataka kukupa Hela eti unakataa na kusema kwamba una mshaharaa....hebu wacha undezi bana tafuna sepaaa
 
Back
Top Bottom