Hivi ni kweli wanaume hatukatai?

Hivi ni kweli wanaume hatukatai?

umeongea point muhimu mnoo, inategemea na sura. Nadhani hao wengi wanaosema wamekataa sura hazikuwa kwenye level zao ama waliona kasoro labda mdada ananuka harufu flani ama kasoro nyengine yyte mbele ya macho yao.
Ndio maana sijawahi kuwa na DEMU kwanza natafuta hela ili nije kupata P.H.A.T Girl,Kupata Smart Girl Mzuri Umbo mpaka Sura inabidi uwe na mkwanja kwanza....Nina Allergy na POLYGON.
 
Ila wadada wanajua kutongoza sana aisee, usiombe akukute umevaa pete ya ndoa. Huwa nawakataa wajue sikuoa bahat mbaya ila ndio kwanzaa inakuwa kama nmewakaribisha.

Mwanamke anaweza kuvutiwa na vile upo mwaminifu kwenye ndoa/mahusiano yako na yey akataka awe na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imewahi nitokea mara mbili lakini sikuwadharau niliendelea kuwaheshimu tu hadi leo maana na wao wana hisia za kupenda kama mimi pia,
 
Ila wadada wanajua kutongoza sana aisee, usiombe akukute umevaa pete ya ndoa. Huwa nawakataa wajue sikuoa bahat mbaya ila ndio kwanzaa inakuwa kama nmewakaribisha.

Mwanamke anaweza kuvutiwa na vile upo mwaminifu kwenye ndoa/mahusiano yako na yey akataka awe na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Na yeye atataka ndoa
 
Unamkataa kwa sababu, na unamkubali kwa sababu.

Kuna binti mmoja nilikaa naye zaidi ya miezi 6 tukiwa kwenye mahusiano pasipo kumgegeda. Siku ya siku nilipomgegeda aliniuliza ni kwa nini sikufanya hivyo siku ya kwanza, sikuwa na jibu.
 
Back
Top Bottom