Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,539
Habari JF?
Naomba tufahamishane kuhusu hili suala?
Mfano nimekopa Sh laki 5 pale NMB branch Ya Igoma, baadae nikashindwa kurejesha mkopo wao wakaja wakabeba dhamana.
Je, Taarifa zangu za kushindwa kurejesha mkopo zitapelekwa kwenye system za benki nyingine za Biashara Tanzania ili nikienda kukopa huko waone kwamba niliwahi kopa kwingine na nikashindwa kulipa?
Je, sitakopesheka tena maisha yote hata kama nina Dhamana nyingine?
Naomba tufahamishane kuhusu hili suala?
Mfano nimekopa Sh laki 5 pale NMB branch Ya Igoma, baadae nikashindwa kurejesha mkopo wao wakaja wakabeba dhamana.
Je, Taarifa zangu za kushindwa kurejesha mkopo zitapelekwa kwenye system za benki nyingine za Biashara Tanzania ili nikienda kukopa huko waone kwamba niliwahi kopa kwingine na nikashindwa kulipa?
Je, sitakopesheka tena maisha yote hata kama nina Dhamana nyingine?