Hivi ni kweli Ng'ombe hawana roho

Hivi ni kweli Ng'ombe hawana roho

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,530
Reaction score
46,614
Inasemekana kwamba ng'ombe hana roho kabisa. Yaan yeye ana mwili tu bila roho. Infact akifa bado haijabainika ni nini hasa kinachotoka mwilini mwake hadi afe. Infact bado haijabainika kama angekuwa na roho hiyo roho ingeenda wapi akifa.

Motoni au Peponi infact hana free will so itakuwa unfair kuipeleka roho yake motoni. Lakini pia itakua grossly unfair kuipeleka mbinguni coz hajapitia majaribu kama ya binadamu wenye free will.

Infact inaaminika kwamba hata nguruwe hawana roho..., na hata wangekuwa nayo same applies..., ngoja nilale kwanza nitaendelea..
 
Kwanini Ngombe na nguruwe tu?? Mbuzi je na wanyama wengine? by the way Roho ni nini kiasi kuwa baadhi ya wanyama wawe nayo pasi na wengine?
 
Kwanini Ngombe na nguruwe tu?? Mbuzi je na wanyama wengine? by the way Roho ni nini kiasi kuwa baadhi ya wanyama wawe nayo pasi na wengine?
Mkuu.., tuna category 5 za viumbe hai..., Kingdom Animalia, Plantae, Proticsta, Monera na Fungi. Wewe una-angukia kwenye kingdom Animalia sawa na wanyama wengine wote.., inasemekana binadamu pekee tuna roho.., na Animalia wengine wote ni mazombie waliokosa free will. (says us humans)
 
Kwani roho si ndo inayomfanya kiumbe kuishi sasa anaishi kwa kutegemea nini....au roho ulokusudia wewe ndo ipi?...

Mfano mtu kakata raha meaning kafa....

Au roho umekusudia nafsi like kufanya kitu alafu una regret au mengine...
 
Kwani roho si ndo inayomfanya kiumbe kuishi sasa anaishi kwa kutegemea nini....au roho ulokusudia wewe ndo ipo....

Mfano mtu kakata raha meaning kafa....

Au roho umekusudia nafsi like kufanya kitu alafu una regret au mengine...

Atakaekuelewa ulichoandika hapa atakujibu.., for now nareserve this space.., ntakujibu nikikuelewa..
 
Inasemekana kwamba ng'ombe hana roho kabisa..., yaan yeye ana mwili tu bila roho. Infact akifa bado haijabainika ni nini hasa kinachotoka mwilini mwake hadi afe..., infact bado haijabainika kama angekuwa na roho hiyo roho ingeenda wapi akifa .., motoni au mbinguni..., infact hana free will so itakuwa unfair kuipeleka roho yake motoni.., lakini pia itakua grossly unfair kuipeleka mbinguni coz hajapitia majaribu kama ya binadamu wenye free will..., infact inaaminika kwamba hata nguruwe hawana roho..., na hata wangekuwa nayo same applies..., ngoja nilale kwanza nitaendelea..

Ni kweli hebu lala kwanza maana...!!!
 
Roho ndio nini?
Inafananaje?
Ikoje?
Inakaa sehemu gani katika mwili wa binadamu?
 
Inasemekana kwamba ng'ombe hana roho kabisa..., yaan yeye ana mwili tu bila roho. Infact akifa bado haijabainika ni nini hasa kinachotoka mwilini mwake hadi afe..., infact bado haijabainika kama angekuwa na roho hiyo roho ingeenda wapi akifa .., motoni au mbinguni..., infact hana free will so itakuwa unfair kuipeleka roho yake motoni.., lakini pia itakua grossly unfair kuipeleka mbinguni coz hajapitia majaribu kama ya binadamu wenye free will..., infact inaaminika kwamba hata nguruwe hawana roho..., na hata wangekuwa nayo same applies..., ngoja nilale kwanza nitaendelea..


Kila kiumbe chenye mwili kina roho

Wanyama wrote wanaroho
 
Mmmh! Kazi kweli kweli! Wakuu, Roho ni pumzi yako, amboyo mwisho wa siku inarudi kwa Mungu! Hao wanyama mnaowataja wana Roho, sema hawana Utashi! Ni binadamu tu ndo tuna utashi(kujua jema na baya)
 
Mmmh! Kazi kweli kweli! Wakuu, Roho ni pumzi yako, amboyo mwisho wa siku inarudi kwa Mungu! Hao wanyama mnaowataja wana Roho, sema hawana Utashi! Ni binadamu tu ndo tuna utashi(kujua jema na baya)

umejuaje mkuu"!
 
Kitu kinachotufanya tufanane na Mungu ni roho.Mungu ni roho.Mungu aliposema nitamfanya MTU kwa mfano Wangu hapa alimaanisha Binadamu atakuwa na roho kama yeye.wanyama HAWANA roho
 
Back
Top Bottom